Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
🤓[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤓[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nakuuliza swali.Ndicho ulichoelewa?
Unajuaje ni kifungu na si vifungu?Weka hiko kifungu cha katiba
Ilipandwa mbegu mbaya sana.Huu ujinga ambao mmejipandikiza hautawatoka
MhMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Hala hala usijikute you belong to Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!Kama ndio namna pekee ya kuikomboa Tanzania, basi naomba Mungu aliwahishe hili.
Duu,
Nimesoma comment after comment....
Ni balaa zito ndugu yetu tumia akili..........
"A MAN WHO SAW TOMORROW"
Haka kajamaa Tumia akili kangese sana kalivyoona Jiwe amezikwa kweli kakaja na uzi humu kuwa operation ya kumuondoa aliyepo imesitishwa. Ila hayati jiwe alikufa kifara sana sijui alikuwa kapigwa upofu gani au zile helicopter & mibunduki kwenye ziara zake za kuzindua vyoo vya stand za mabus ndizo zilimfanya akawa anahisi yuko salama
Kwa hiyo Mpango atakuwa Rais kabla ya 2025.
Neno litatimia, Mpango atakuwa rais.Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Nakuuliza swali.
Mimi sijaziona na wala sijali, I don't even listen to the speeches tangu Magufuli.But Leo le mutuz na Ikulu mawasiliano wame post picha za Leo Rais Akiwa na waziri mkuu vikao Kwa msajili...
Una doubt hizo picha??
Mimi sijaziona na wala sijali, ila for the sake of Tanzanians, she better show up.
Experience waliyoipata ya Rais kupotea, halafu kuambiwa kwamba anachapa kazi, halafu kujua kumbe alikuwa anajifia zake ni mbaya sana.
Si unajua tena Waswahili wanasema aliyeumwa na nyoka akiona unyasi anasituka?
Nature kama Nature!
AiseeeTumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
DuuhUna maana haya madharau dhidi ya covid19 yata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎
Au unakusudia kusema nini?
Napita tu jameni.
Ni kweli mkuu ata kipindi kile ilipoanza minong'ono wakawa wanarusha picha na video za jiwe hawaminiki Hawa.Mimi sijaziona na wala sijali, I don't even listen to the speeches tangu Magufuli.
Ila for the sake of Tanzanians, she better show up.
Experience waliyoipata ya Rais kupotea, halafu kuambiwa kwamba anachapa kazi, halafu kujua kumbe alikuwa anajifia zake ni mbaya sana.
Si unajua tena Waswahili wanasema aliyeumwa na nyoka akiona unyasi anasituka?