Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Utapeli tu, hakuna kitu kama hicho.

Haya yako US ambako wafanyabiashara wakubwa ndio wameikamata serikali, na maamuzi yote shurti yaendane na matakwa yao.

Nchi kama Russia hawana ujinga huo, China hawana ujinga huo...
Tutabishana bure ila ichukulie Kama homework 2025 majira kama haya utarudi na majibu katika uzi huu.
 
Muda sio rafiki, utabiri unaelekea kuzama
 
Aisee yaani wengine mnawezaje kuona jamani. Hii yaani almanusura kama vile inaenda kutokea full ila frdha awe Ford, yaani wala hakuwahi kuota kabisa kuwa rais
 
Wishful Thinking.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…