Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole ya Nini Sasa wakati hawana urafiki mzuri wa kidipromasia .. marehemu yeye alitoa pongezi kwa Biden aliposhinda uchaguzi !?Mweh!.. mabeberu sio watu wazuri! Naamini huko yalipo yanachekelea kama yalivyochekelea hadharani alipokufa Rais wa Venezuela na wa Libya!
Sijaona hata pole toka kwa Rais wa US!
Kwahiyo jamaa wame m-poisonStay tuned mkuu, mambo yanakaribia kuanza..
Haya tukio limeshajiri Sasa ..hebu tunyooshee maelezo ilikuwaje kuwaje !?Hizi mkuu zinahifadhiwa kwanza mpaka pale zitakapoacha kuhifadhiwa..
Duhh so it means 2025 atachukua mwingine mama atapigwa chini !??Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
AiseeIngekuwa sahihi kama matukio haya yangekuwa yale ya kwenye sheria ila hili ni contingency plan.
Kwa maelezo ya post wala haitafika huko katikati hapoDuhh so it means 2025 atachukua mwingine mama atapigwa chini !??
Kweli dunia Ina mambo
aisee [emoji849][emoji16]Kwa maelezo ya post wala haitafika huko katikati hapo
Stay tuned mkuu, mambo yanakaribia kuanza..
You already knowKuna dalili za mambo kama haya kutokea huku kwetu kwa viashiria vipi?
Huu uzi huyu mama yetu asiuone, atanyong'onyea na kushindwa kuongoza kwa utulivuMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Jamaa itakuwa Yupo deep stateKumbe mtoa thread ndo michezo yake cheki hapa post ya mwaka 2014
KIFO CHA WAZIRI
[emoji16][emoji16]