Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh tunasubiri mhuni aanguke chini. 😆😆Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Assassination gani? Serikali ilishatoa taarifa za ugonjwa wa moyo. Nyuzi zake nimeziona hata mwaka huu ingawa haandiki sana...huyu jamaa Tumia akili ni mmoja wa waasisi wa assassination ya mwendazake Ila baada ya mwendazake ametoka kwenye system...Sasa hivi hajui chochote kinachoendelea jikoni...ndo maana siku hizi huwezi tena kuona nyuzi zake humu jamvini. ..trust me
Wewe labda hujamfuatilia...huyu jamaa Tumia akili ni mmoja wa waasisi wa assassination ya mwendazake Ila baada ya mwendazake ametoka kwenye system...Sasa hivi hajui chochote kinachoendelea jikoni...ndo maana siku hizi huwezi tena kuona nyuzi zake humu jamvini. ..trust me
Kwahio muda ulishafika si NDIO!!!?Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Huyo mpiga ramli wenu hamna kitu..mama yupo sana tu mpaka 2030Kwahio muda ulishafika si NDIO!!!?
TUSUBIRI TUONE
Huyu jamaa aje atuelezee kinagaubaga
Mwendazake aliwekewa pacemaker zama anafanya Masters Degree mlimani....huyu jamaa Tumia akili ni mmoja wa waasisi wa assassination ya mwendazake Ila baada ya mwendazake ametoka kwenye system...Sasa hivi hajui chochote kinachoendelea jikoni...ndo maana siku hizi huwezi tena kuona nyuzi zake humu jamvini. ..trust me
2025 atatoboa kwenye chama chake?Huyo mpiga ramli wenu hamna kitu..mama yupo sana tu mpaka 2030
Kumbe zile tetesi kwamba he was assassinated zina uhakika sasa.Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Maza hatakuwa Rais hadi 2030.Huyo mpiga ramli wenu hamna kitu..mama yupo sana tu mpaka 2030
Kwa hisani ya asilimia 23Huyo mpiga ramli wenu hamna kitu..mama yupo sana tu mpaka 2030
Mpango anaweza kuwa rais mzuri.Kwa mujibu wa hili andiko Mpango anakuja kuwa Raisi Pasipo kugombea nafasi ya umakamu wa raisi au uraisi wenyewe... huyu jamaa aliwaza mbali mno
Uko wapi huo uhakika?Kumbe zile tetesi kwamba he was assassinated zina uhakika sasa.
Watu mnaona mbali.na kweli yametokea.jpm is not moreUna maana haya madharau dhidi ya covid19 yata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎
Au unakusudia kusema nini?
Napita tu jameni.