Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Teh teh tunasubiri mhuni aanguke chini. 😆😆
 
...huyu jamaa Tumia akili ni mmoja wa waasisi wa assassination ya mwendazake Ila baada ya mwendazake ametoka kwenye system...Sasa hivi hajui chochote kinachoendelea jikoni...ndo maana siku hizi huwezi tena kuona nyuzi zake humu jamvini. ..trust me
Assassination gani? Serikali ilishatoa taarifa za ugonjwa wa moyo. Nyuzi zake nimeziona hata mwaka huu ingawa haandiki sana
 
...huyu jamaa Tumia akili ni mmoja wa waasisi wa assassination ya mwendazake Ila baada ya mwendazake ametoka kwenye system...Sasa hivi hajui chochote kinachoendelea jikoni...ndo maana siku hizi huwezi tena kuona nyuzi zake humu jamvini. ..trust me
Wewe labda hujamfuatilia
 
...huyu jamaa Tumia akili ni mmoja wa waasisi wa assassination ya mwendazake Ila baada ya mwendazake ametoka kwenye system...Sasa hivi hajui chochote kinachoendelea jikoni...ndo maana siku hizi huwezi tena kuona nyuzi zake humu jamvini. ..trust me
Mwendazake aliwekewa pacemaker zama anafanya Masters Degree mlimani.
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Kumbe zile tetesi kwamba he was assassinated zina uhakika sasa.
 
Una maana haya madharau dhidi ya covid19 yata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎

Au unakusudia kusema nini?

Napita tu jameni.
Watu mnaona mbali.na kweli yametokea.jpm is not more
 
Back
Top Bottom