ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,651
- 2,790
Mnajadili afya yake iwasaidie nini? Acha urofa kila mtu amwombee kama ni mgonjwa apone haraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha makasiriko ndugu hapa ni watu wanapiga soga tu muda usonge nashangaa unapaniki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio maana nikakuita mpumbavu. Yaani ajitokeze kwa ujinga ambao umeandikwa na mjinga mmoja mtandaoni? Huyo basi hatakua raisi atakua ni VEO
Kuhusu Magufuli na huu ujinga mnaoandika hapa unahusiana vipi?
Serikali ya kidemokrasia inatakiwa kuwa ya uwazi.Mama jana amefuturisha na anaonekana yupo fiti. Nafikiri hizi tetesi zimeenea na kuchagizwa na kauli ya JK majuzi kuwa tumuombee mama. Mama ameonekana jana wote tumemuona mjadala uishie hapo sasa.
Alishindwa magu bhana sembuseMnafikiri Samia hasomi huu Uzi? anausoma sana tu...SEMA wale wote "the state" amewatoa wote kwenye system na ndo maana huwezi kumsikia Tumia akili akitoa huo utabiri wake wa kijinga ...
NB:walimuweza magu Kwa Sababu ya ushamba na ugeni wa mji
Sawa , wajanja wa mji bado mpoMnafikiri Samia hasomi huu Uzi? anausoma sana tu...SEMA wale wote "the state" amewatoa wote kwenye system na ndo maana huwezi kumsikia Tumia akili akitoa huo utabiri wake wa kijinga ...
NB:walimuweza magu Kwa Sababu ya ushamba na ugeni wa mji
We mwamba ni mchawi😅Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
0Mnafikiri Samia hasomi huu Uzi? anausoma sana tu...SEMA wale wote "the state" amewatoa wote kwenye system na ndo maana huwezi kumsikia Tumia akili akitoa huo utabiri wake wa kijinga ...
NB:walimuweza magu Kwa Sababu ya ushamba na ugeniwa mji
Kwa Marais wa Afrika hata kama yuko ICU bado hawezi kukaimisha madraka kwa makamu wake😅😅Joe Biden alipokwenda kufanyiwa Operesheni, wamarekani walijulishwa na akaandika hati ya kumkabidhi Haris Kamala mamlaka ya Urais kwa muda. Sasa hapa ni lazima utukanwe na kutishwa, sielewi ni kwa nini!!
Wewe Tumia akili una maono makali sana. Ulichoandika May 2020, kilitokea March 2021.Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Kama utaiona post yoyote toka kwa Tumia akili kuanzia tarehe ya post yako (May 12) naomba unishtue.Wewe Tumia akili una maono makali sana. Ulichoandika May 2020, kilitokea March 2021.
Hebu njoo huku utupe maono zaidi
Alitangulizwa huyo kenge...Kama utaiona post yoyote toka kwa Tumia akili kuanzia tarehe ya post yako (May 12) naomba unishtue.
Alishakufa si alikuwa ni ndo huyo tumezika juzi mtwara hukoKama utaiona post yoyote toka kwa Tumia akili kuanzia tarehe ya post yako (May 12) naomba unishtue.
Tulimzika Kyagata 😆😆Alishakufa si alikuwa ni ndo huyo tumezika juzi mtwara huko
HahahahaTulimzika Kyagata [emoji38][emoji38]
Juzi kapost Mods wameizuia.Kama utaiona post yoyote toka kwa Tumia akili kuanzia tarehe ya post yako (May 12) naomba unishtue.
Alisemaje mkuu? Kama mods wanazuia basi huyo jamaa atakuwa mzalendo tofauti na nilivyomuwazia.Juzi kapost Mods wameizuia.
Kuna mpango wa kuzuia NYUZI zake?
Kuna uzi wake juzi hapa umefutwa.Kama utaiona post yoyote toka kwa Tumia akili kuanzia tarehe ya post yako (May 12) naomba unishtue.