Tetesi: Rais amwita Makonda Ikulu asubuhi hii

Tetesi: Rais amwita Makonda Ikulu asubuhi hii

Status
Not open for further replies.
This could have been stage managed ili mkulu amtumbue kwa kisingizio cha kutumia madaraka vibaya-na sio kuhusiana na vyeti-Tanzanians,we need to look at the bigger picture
 
Bashite ananyanyasa sana watu wa dar na Rais anamlinda
 
makonda ameshakuwa historia kabla ya muda wake haujafika
 
Nyie ndio mnalea ujinga wa Bashite kwa kivuli cha vita vya madawa ya kulevya. Ukiwa makini utaona kwamba hata ingekuwa vita dhidi kuvaa chupi chafu, kwa mwenendo wake tungekuwa hapa hapa. Acha "herd mentality" na jufunze kutafakari

Kuwaza na kujiaminisha kwa hisia tu ni shidaaaaaH
 
Za Jumapili wadau!

Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.

Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!

Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Leo si ni jumapili na Mkulu huwa analipuka jumapili. tuombe Mungu tu fisadi, mnyanyasaji na mtu mwenye majivuno yaliyopitiliza apigwe chini. Binafsi namuonea huruma na iliniuma sana yule Dada afisa Ardhi alivyoitwa kichaa.
 
Tumalizane na huyu dogo kwanza aliyemea pembe na kujiona Mungu katika jiji hili.Kisha huyo mwingine tumuweke kiporo, ila tunaweza kutengeneza historia mpya katika taifa asipokuwa makini.Tatizo ni wana underestimate nguvu ya umma.Kitendo cha mh. Lissu kushinda katika uchaguzi wa jana licha ya mikwara na vitisho vya kila namna, inaonyesha kiashiria cha karipio kwa mkuu kwamba ajitafakari upya na pia inaonyesha taswira ni kiasi gani serikali imekosa ushawishi kwa watu inao waongoza na inachofanya sasa ni kutumia ubabe na vitisho.
Bampa 2 Bampa" watanzania tume elimika na tunajitambua sana this time..
 
Leo Ndiyo Siku Bashite Atakayolia Kuliko Ile Ya Kanisani.
Atatumbuliwa Jioni
 
Mama Kilango hakuitwa kujadiliana alitoa tamko ila Bashite anaitwa kujadiliana!!!! Ni nchi hii tu unaweza ona ujinga wa aina hii
Alikua mbali na Magogoni
 
Huyu Bashite anayemng'ang'ania hivi na kumkingia kifua soon atamuacha uchi bila nguo. Mambo yanazidi kuwa dhahiri kadri siku zinavyosogea na aibu inazidi. Yaani mtu hadi anaamua kutumia vyombo vya dola kuvamia kituo cha habari kitangaze anayotaka bado mheshimiwa hahisi tu kuwa kuna sababu za kumchunguza huyu "malaika" wake?
 
Nilishawahi kuandika bandiko la Uswahiba huu wa Makonda na Clouds Media Group na hadi nikamwonya Makonda kuwa kuna siku hawa hawa akina Kusaga na Ruge ambao Yeye anawaona ni Marafiki zake watakuja kumponza na kumuharibia lakin katika ule uzi nilidhihakiwa na kutukanwa mno ila namshukuru Mwenyezi Mungu nilichokiandika katika ule uzi wangu jana kimeanza kutimia. Ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa maono na umakini uliotukuka juu ya mambo ambayo huwa nayasema au kuyaanzisha humu. Utafuteni huo uzi kwani upo humu humu. Ama hakika asiyesikia la Mkuu huvunjika Mguu.
Na hao wengine wajue mwenzao akinyolewa zako tia maji..... Mond nakupenda kwa ili kuwa makini
 
Kumbe Clouds taarifa zao huwa wanarusha chini ya Mtutu wa bunduki
 
Kodi zetu tunazohamasishwa kulipa zinatumika kuwabeba askari waliovaa nembo za taifa viunoni na vichwani tena wakiwa na bunduki,waende clouds kufuatilia video ya shilawadu?

Askari hawa waliopigana vita ya kagera?

Askari hawa waliopigana Moroni komoro?

Askari hawa walioituliza Kongo DR?

Askari hawa wenye sifa duniani kote ya kulikomboa bara la afrika?

Wanafanyishwa kazi ya kutafuta shilawadu?

Darasa alisema "too much"
Mkuu
Nikajua kupatwa ni kwa mwezi na jua tu (rc & bishop)
Kumbe Ata nyota zinapatwa ( clouds & mke wa Bishop) lkn chanzo ni dunia (vyeti) wanadamu kuzidisha matukio maovu!!!
Bishop achukue familia yake (Baba, mama & mtoto) sio ile familia ya mwanzo kwa sababu bishop alidanganya ile familia aliyo ongea nayo haina vigezo vya family.
RC nae aweke cheti cha form four tu.
Nape nae awafungie clouds media.
Nahsi vikifanyika hivi vita amna tena.
Mungu bariki Tanzania.
 
Huyu Bashite anayemng'ang'ania hivi na kumkingia kifua soon atamuacha uchi bila nguo. Mambo yanazidi kuwa dhahiri kadri siku zinavyosogea na aibu inazidi. Yaani mtu hadi anaamua kutumia vyombo vya dola kuvamia kituo cha habari kitangaze anayotaka bado mheshimiwa hahisi tu kuwa kuna sababu za kumchunguza huyu "malaika" wake?
Waache waendelee na dharaaaaauuuuuuuuu kwa watanzania
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom