Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Mkuu umeua.Itakua kaenda kuchukua vyeti..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeua.Itakua kaenda kuchukua vyeti..
Ukiongeza jitihada kutafakari, utaiona "picha kubwa".Kuna makengeza hapa.... Mbona wengine waliwajibishwa on the spot without hata kuitwa kwa msg!
Naona RC Makonda aliwagusa watu wengi kutangaza watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya, kiasi wanatamani na kumwombea mabaya.
VITA INOGILE na siyo ngoma ati
Kuna video imerushwa hewani, jamaa anaonekana kabisa, hii imekaa vibaya.Nawza kuamini! Kweli alienda na maaskali . hapana hii haivumiliki hata kidogo. Tupaze sauti zetu kama kufa tufe tupigwe malisasi!
Na vyura tuliamua.Labda kelele za vyura zinamnyima ng'ombe raha ya kunywa maji.No longer at ease!
Mange sio wa mchezo mchezo. Watu wangeiona jumapili ya leo mbayaZa Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Tuwekee nasi hapa tuicheki kiongoziMkuu nenda insta ya mange kaweka video mpya inaonyesha wote waliokuwepo watu zaidi ya 7
Itakuwa anapandishwa cheo
Ofcoz, na mwendo ni ndio huu huu.. akitoka Bashite tunamtafuta Kiherehere Mwengine nae atavuliwa Nguo.Magu hata amtumbue bado sina imani tena na raisi
Kumbukumbu zinaonyesha kua jumapili sio siku nzuri sana kwa rekodi za JPM,hata mama Ake le mutuz alipigwa nyundo jumapili...kwa kua bado siku haijaisha na hivi sasa ni saa tano na dakika 08 ngonja tuendelee kusubiri mambo ya Msigwa "Taarifa kwa vyombo vya habari"Za Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Katika maisha haya hakuna mjanja, mjanja ni aliyeiumba, hivyo ukijishusha, Yeye ndiyo ana take over! Acha Karma ifanye kazi! Kazi ya damu na nyama umekwisha! Mkumbuke mrusi na Napoleon! Acha uumbaji ufanye kazi yake! Have a nice Sunday!Umeandika Kwa Masikitiko Sana.
Pole mfuasi wa Bashite from Kolomije. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ningekuwa mkuu wa majeshi hao ingekuwa saa hii wako lockup
Kwahiyo kimenuka kwa mjomba..??Za Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Naona RC Makonda aliwagusa watu wengi kutangaza watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya, kiasi wanatamani na kumwombea mabaya.
VITA INOGILE na siyo ngoma ati
msukuma mwenziwee na wote ni wanufaika wa GSMTunahitaji kujua kilichoko kati ya JPM na huyu RC!!
inakuwaje shutuma zote hizi JPM kimya??
Yaani hadi kuvamia studio na silaha. Hii nchi haina intelijensia ya kumshauri mkuu??
Au ni home boy acha afanye atakalo kaka atamlinda...
Tumalizane na huyu dogo kwanza aliyemea pembe na kujiona Mungu katika jiji hili.Kisha huyo mwingine tumuweke kiporo, ila tunaweza kutengeneza historia mpya katika taifa asipokuwa makini.Tatizo ni wana underestimate nguvu ya umma.Kitendo cha mh. Lissu kushinda katika uchaguzi wa jana licha ya mikwara na vitisho vya kila namna, inaonyesha kiashiria cha karipio kwa mkuu kwamba ajitafakari upya na pia inaonyesha taswira ni kiasi gani serikali imekosa ushawishi kwa watu inao waongoza na inachofanya sasa ni kutumia ubabe na vitisho.Magu hata amtumbue bado sina imani tena na raisi