Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia instagram ndo kuna madude yote...hatari ukionaHiyo vdeo iko wapi?
Ndo hivi Taasisi ya Urais ilisema inawapenda'ndo maana RC kaenda kulazimisha habari itolewe.Kodi zetu tunazohamasishwa kulipa zinatumika kuwabeba askari waliovaa nembo za taifa viunoni na vichwani tena wakiwa na bunduki,waende clouds kufuatilia video ya shilawadu?
Askari hawa waliopigana vita ya kagera?
Askari hawa waliopigana Moroni komoro?
Askari hawa walioituliza Kongo DR?
Askari hawa wenye sifa duniani kote ya kulikomboa bara la afrika?
Wanafanyishwa kazi ya kutafuta shilawadu?
Darasa alisema "too much"
Iko tele humu...Iwekeni na huku basi kama mnayo
Mkuu nenda insta ya mange kaweka video mpya inaonyesha wote waliokuwepo watu zaidi ya 7Ikisimama panda.
Ila hakikisha una vyeti tu
Mapenzi yana nguvu atiNimwaminkwa kiasi mh.rais lakin kuhusu huyu mtu nakosa iman na rais maana inawezekana kuna siri nzito sana ndani , wengine mbona walitolewa bila hata kuitwa? Hii ya kuitwa inamaana kuna negotiations baina yao ,
Daudi kwa JPM na Bashite, nitarudi nikutafuteYes Bashite biashara yake inaisha rasmi
Ngoja nikaichekiMange katupia clip nyingine Kali zaidi