Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu video hyo hapo Bashite akiwa na wajeda
Ila anatia huruma kachanganyikiwa tumsamehe yatosha sasa
Serious mkuu!!!Ila anasifiwa na kutetewa sana na anaowabandua na kuwakanyaga.
Wakikaa vibaya huyu chalii ata act kama mu7.Mwisho wa Makonda umewadia.
Iwekeni na huku basi kama mnayonimeona
Nenda insta kwa mange ipoHatujana hiyo clip ,tupeni link au liclipu lenyewe
Sent from my Vodafone 875 using JamiiForums mobile app
Huyo huyo alie kupandisha ndie atakae kushusha, clouds walifanikisha sana huyu bashite kupata ukuu wa mkoa. Na sasa hao hao wanamchomesha!
Nimwaminkwa kiasi mh.rais lakin kuhusu huyu mtu nakosa iman na rais maana inawezekana kuna siri nzito sana ndani , wengine mbona walitolewa bila hata kuitwa? Hii ya kuitwa inamaana kuna negotiations baina yao ,Za Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
ding dong ding dong, tik tok tik tok tik tokSasa unashabikia nini?? Kama ni utumbuaji, mtumbuaji ni JPM, sio chadema. Au leo mnamsapoti?