strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Huyo huyo alie kupandisha ndie atakae kushusha, clouds walifanikisha sana huyu bashite kupata ukuu wa mkoa. Na sasa hao hao wanamchomesha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imekula kwake rasmi.Za Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Tatizo huyu jamaa move zake ni unpredictable kama Kitwanga alimtuliza na ametoka naye mbali ndio itakuwa Makonda ?Anaweza asirudi
Hatujana hiyo clip ,tupeni link au liclipu lenyewehujaona clip moja ya cctv imevuja ,ni kweli
Ukitaka kubaki salama,kaambali na BASHITEZa Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Mkuu video hyo hapo Bashite akiwa na wajedaNawza kuamini! Kweli alienda na maaskali . hapana hii haivumiliki hata kidogo. Tupaze sauti zetu kama kufa tufe tupigwe malisasi!
Inaonekana hufuatilii ubuyu kabisaHivi kesharudi sauzi eeh!!!
Acha tuone movie itakapoishia
Yes Bashite biashara yake inaisha rasmiDaudi are you sure?
Amuache kidogo tuzidi kujionea mengi yaliyojificha ya awamu hiiNa yule baba asivyokuwa na simile atalianika hadharani sasahivi.
HariiikaaaaNahavome
Yaani ana maanisha hii kitu na boxMbona cjakuelewa mzazi...
Wanajeshi tena!! Nje!! *****!!