mngonazi 2017
Senior Member
- Feb 5, 2017
- 146
- 121
Sijui masikio yetu tuyaelekeze wapiKwahiyo Clouds kuna Kikao at the same time Mggn kuna Kikao?
Na Kanisani kuna Mazito.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui masikio yetu tuyaelekeze wapiKwahiyo Clouds kuna Kikao at the same time Mggn kuna Kikao?
Na Kanisani kuna Mazito.
Wewe ndio kwanza umejiunga leo jf kuja kumtetea makonda?nyenyere weweYaani mnajaza server kusubiri Makonda atumbiliwe? Makonda ni mwiba, ataendelea kuwachoma kwa mda mrefu sana. Mbaka mtakapokubali kama mmeshindwa atakua amewaletea athari kubwa kisaikolojia.
Yaani tangu una amka mbaka unalala yaani akiliinamfikilia makonda tu.
Mkuuu, kumbuka RC ni commsn ya RAIS. Yupo on behalf ya president na jeshi linatiii maelekezo ya wakuuu.Ningekuwa mkuu wa majeshi hao ingekuwa saa hii wako lockup
Kwahiyo alikuwa anaingia efm ? Kufanya nini na wanajeshi saa 4.46 usiku tarehe 17.03.207 siku ya ijumaa ambayo ndio kipindi cha shilawadu kinaruka hewani?Unathibitisha vipi kuwa hiyo ni clouds tv studio??
Sasa unashabikia nini?? Kama ni utumbuaji, mtumbuaji ni JPM, sio chadema. Au leo mnamsapoti?NAKWAMBIA SAFARI HII HAMNA PA KUJIFICHA
Nahavache mdughu wangu mira sivaire it ni lugha ani ii ...... Shinda mphoa nawe ukoShinda mphoa
Umesahau kikao cha wana-Insta!Kwahiyo Clouds kuna Kikao at the same time Mggn kuna Kikao?
Na Kanisani kuna Mazito.
Kwan alienda na jwtz au jkt??
Yani mtu unakua slave in your own countryafu kila siku kuna wasengenyaji wanatuambia Tanzania kuna amani
Wewee ubongo wako utakua upo kwenye makalioKuna nini la kushangaza!?
Huwa hawaiti au?
Makonda oyeeeeeeeeeee
Kaa pembeni, point yako haina mashiko!Kwahiyo alikuwa anaingia efm ? Kufanya nini na wanajeshi saa 4.46 usiku tarehe 17.03.207 siku ya ijumaa ambayo ndio kipindi cha shilawadu kinaruka hewani?
Anaweza asirudiAu Magu hili swala la Makonda alinyamaza makusudi aendelee kuharibu mwisho wa siku amuweke magereza anavyo penda sifa mzee yule na halimashauri ya kichwa chake hakina meya wala diwani ngoja tuone