Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbafu. Wewe mwenyewe umeletwa nini hapa?Yani mkuu wa mkoa kuitwa Ikulu basi imekuwa story!!?
Comment za hapo juu zinashangaza sana
Yani tetesi ya mkuu wa mkoa kuitwa ikulu, haina uhakika ni tetesi na pia hata alichoitiwa hakijafahamika.
Mtu unakuja mbio humu.!
Without a doubtleo ndio mwisho wa zero brain ....
Aaaaa aisee!!!! NimeionaDaudi Bashite on Instagram: “***** ile story ya Jana ni kweli ushahidi huu hapa....Unaambiwa hapo wanajeshi wengine walibaki nje wanalinda mtu asiingie wala asitoke…” http://fxt1.uc.cn/3_sDef
----via UC Browser, superb video player.
Mkuu umenifanya nicheke sana! Mwanangu amebaki ananishangaa.alafu angeweka na "kudu bii" kidogo
afu kila siku kuna wasengenyaji wanatuambia Tanzania kuna amaniAngalien video ya uvamizi aliyofanya clouds imesambaa tayari ...kama la cheti amekua kama gogo je hili atajificha wapi???
Nchi yetu tunakwemda wapi
Unaingia kazn kwang na silaha ya kivita kunitishia niende kinyume na taratibu za kazi yangu ?????
ingia instagram ya mange kimambi utaiona pale mubashara...Nipe link ya kuona hio video mku
Mkuu hiyo ndio hali halisi na kuna clip inatembeaNikweli huyu jamaa alivamia pale clouds ? Make hata mimi nilikuwa nafatilia kipindi kikaisha gafla tu yani bila kuelewa huku nikisubiri mara matangazo
Mama Janet kaenda misa ya asubuhi...........hatumbuliwi mtu hapa.
Genta, kubeti huko mbona umekwenda mbali! Yasipotokea?Naomba Mimi na Wewe tubeti Mkuu Mimi naweka mtonyo Wewe niwekee mbunye yako au nyero lako tu nakuhakikishia RC Makonda muda wowote Rais JPM anatengua Ukuu wake wa Mkoa. Nasubiri jibu la Kubetiana.
Dada ake na bashite[emoji108]Kuna nini la kushangaza!?
Huwa hawaiti au?
Makonda oyeeeeeeeeeee
Watu mna misemo, nimejarb kupata picha tu ya hiyo kauli yakoThe last kick of dying donkey
CCTV inaonyesha ni ijumaa usikuHuyu mkaka asipoangalia atatumbuliwa na usikute j kusaga kashampandia hewani mkulu kumuhadithia alichokifanya nwanae usiku wa jana katika ofisi za clouds
Hivyo hapo anaenda kuulizwa ajiielezee vizuri
check instagram ya mange kimambi ipo mubashara paleTuwekeeni Huyo clip wakuu na sisi tuione
nje hakuna CCTV cameras? wekeni tuwaone hao wanajeshi,, au hiyo footage mbona sioni mtu yeyote aliewekwa chini ya ulinzi? huyo mtu wa mapokezi mbona hana wasiwasi wowote??Daudi Bashite on Instagram: “***** ile story ya Jana ni kweli ushahidi huu hapa....Unaambiwa hapo wanajeshi wengine walibaki nje wanalinda mtu asiingie wala asitoke…”