Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa poa kma tukijumuika pamojahaaaa wewe kama mimi katika huu ufatiliaji
Kunguni wa kitanda cha kamba huyo.Wewe ni zaidi ya kiroboto
Anamaanisha waliozaa na Sizo...... ?Mmmmmh hiyo ita kuwa kali coz huyo wanae mwita mange ametoa kauli kali saana kwenye ukurasa wake wa instagram kwamba ata wataja mabinti wote waliozaa na.....
.............. Noma saana. Yaani
Mh, Ta muganyizi mbona umejiaminisha kama vile hii habari ni ya kweli au umeconfirm alichoitiwa!Mweee bakamabange byashehsheka byooona. Yaaafwa. Nimeshindwa hata kushangaa kwa Kiswahili
alafu angeweka na "kudu bii" kidogoMkuu umekosea ilibidi bandiko lako uanze na ile lugha" I wish"
Unathibitisha vipi ile siyo clouds tv studio... Na rc anaenda wap saa tano kasoro usku na wajeda??Unathibitisha vipi kuwa hiyo ni clouds tv studio??
Hujaiona jamaa kavaa kofia kama ya masakuu wa vitimbi na askari wawili na dogo mmoja,na mwenyewe ndiyo ametangulia mbele.Iyo vedio iko wap wajamenii
Daudi are you sure?The last kick of dying donkey
Atajificha wapi?? Ameonekana na live cameras akivamia na video imeanza kusambaa .....Mwacheni
Labda ameitwa akanywe chai ee...Yani mkuu wa mkoa kuitwa Ikulu basi imekuwa story!!?
Comment za hapo juu zinashangaza sana
Yani tetesi ya mkuu wa mkoa kuitwa ikulu, haina uhakika ni tetesi na pia hata alichoitiwa hakijafahamika.
Mtu unakuja mbio humu.!
Mama Janet kaenda misa ya asubuhi...........hatumbuliwi mtu hapa.
Yaani mnajaza server kusubiri Makonda atumbiliwe? Makonda ni mwiba, ataendelea kuwachoma kwa mda mrefu sana. Mbaka mtakapokubali kama mmeshindwa atakua amewaletea athari kubwa kisaikolojia.
Yaani tangu una amka mbaka unalala yaani akiliinamfikilia makonda tu.