Tetesi: Rais amwita Makonda Ikulu asubuhi hii

Tetesi: Rais amwita Makonda Ikulu asubuhi hii

Status
Not open for further replies.
Mmmmmh hiyo ita kuwa kali coz huyo wanae mwita mange ametoa kauli kali saana kwenye ukurasa wake wa instagram kwamba ata wataja mabinti wote waliozaa na.....
.............. Noma saana. Yaani
Anamaanisha waliozaa na Sizo...... ?
 
Yani mkuu wa mkoa kuitwa Ikulu basi imekuwa story!!?
Comment za hapo juu zinashangaza sana
Yani tetesi ya mkuu wa mkoa kuitwa ikulu, haina uhakika ni tetesi na pia hata alichoitiwa hakijafahamika.
Mtu unakuja mbio humu.!
Labda ameitwa akanywe chai ee...
 
Yaani mnajaza server kusubiri Makonda atumbiliwe? Makonda ni mwiba, ataendelea kuwachoma kwa mda mrefu sana. Mbaka mtakapokubali kama mmeshindwa atakua amewaletea athari kubwa kisaikolojia.
Yaani tangu una amka mbaka unalala yaani akiliinamfikilia makonda tu.

Naomba Mimi na Wewe tubeti Mkuu Mimi naweka mtonyo Wewe niwekee mbunye yako au nyero lako tu nakuhakikishia RC Makonda muda wowote Rais JPM anatengua Ukuu wake wa Mkoa. Nasubiri jibu la Kubetiana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom