Jongwe
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 1,040
- 662
Itakuwa juu ya tukio la kesho uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa fly-over ubungoUsisahau kushare feedback nasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa juu ya tukio la kesho uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa fly-over ubungoUsisahau kushare feedback nasi.
Kote huko wanamtimuaHajaamkia msikitini au kanisani kwenda kulia?
Iyo vedio iko wap wajameniiyule mjeda kwenye video anaonekana kabisa kalazimishwa dizaini hawaelewi vile....
Tuwekeeni Huyo clip wakuu na sisi tuioneyule mjeda kwenye video anaonekana kabisa kalazimishwa dizaini hawaelewi vile....
Kuna yule Mkurugenzi aliye tumbuliwa kwa kutishia na bastola ambayo ilikuwa mali yake.Mkuu kibaya zaidi ni kutumia silaha
Ndio wanaturahisishia kuiondoa ccm dsmSidhani kwa JPM na Bashite walivyoshibana
Hahahaha... Nchi ya mashilawaduPolisi shilawadu na wanajeshi shilawadu
Mkulu nae shilawadu kwahiyo wananchi nao ni shilawadu
Ha ha ha ha
ngoja pia tuone Generali Mabeyo yuko serious na kazi au nae ndo walewale,Ningekuwa mkuu wa majeshi hao ingekuwa saa hii wako lockup
Unathibitisha vipi kuwa hiyo ni clouds tv studio??hujaona clip moja ya cctv imevuja ,ni kweli
Undertaker, ivi unafanyaje kuona posts za mange instagram, nipe elimu pleaseZa Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Amedharirisha sn watu kuanzia waasisi wa taifa....INAFAA ZAIDI ANYONGWE HADHARANIAfukuzwe tu
OK PoaMkuu umekosea ilibidi bandiko lako uanze na ile lugha" I wish"
Nipe link ya kuona hio video mkuyule mjeda kwenye video anaonekana kabisa kalazimishwa dizaini hawaelewi vile....
Pichu yakubana kweli kweli yakheKuna nini la kushangaza!?
Huwa hawaiti au?
Makonda oyeeeeeeeeeee