MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Leo lazima bashite atumbuliwe, sijui atajificha wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini la kushangaza!?
Huwa hawaiti au?
Makonda oyeeeeeeeeeee
DuuuuuuuDaudi Bashite on Instagram: “***** ile story ya Jana ni kweli ushahidi huu hapa....Unaambiwa hapo wanajeshi wengine walibaki nje wanalinda mtu asiingie wala asitoke…”
Umeandika Kwa Masikitiko Sana.Mwenye Enzi Mungu atangulie kwenye mazungumzo na upatikane muafaka! Duh enough is enough!
Mariana bhn.. .[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Duh mpaka siku iishe leo nitakuwa nimesikia mambo mengi sana.
Oh Mungu nasema ahsante kwa zawadi ya uhai uliyonipa bure.
Hakika wewe ni kilazaaaaaaaaaaaaaaa hatariKuna nini la kushangaza!?
Huwa hawaiti au?
Makonda oyeeeeeeeeeee
Afukuzwe tuZa Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Mpuuzie huyo mkuu .... ukiona maandiasi yake yapite tu km hujayaona, yasije kutapisha bure..hivi we mwanamke unakazwa na Bashite??? Siku yakitokea utayakana matapishi yako haya
Hao wote ni kitu kimoja ila namuomba rais amfukuze kazi huyu makondaHuyu mkaka asipoangalia atatumbuliwa na usikute j kusaga kashampandia hewani mkulu kumuhadithia alichokifanya nwanae usiku wa jana katika ofisi za clouds
Hivyo hapo anaenda kuulizwa ajiielezee vizuri
Mkuu umekosea ilibidi bandiko lako uanze na ile lugha" I wish"Ningekuwa mkuu wa majeshi hao ingekuwa saa hii wako lockup
Daaaa hii cjaiona jaman.... Ntaipata waphujaona clip moja ya cctv imevuja ,ni kweli