Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hapa ni scratch my back will scratch yoursZa Jumapili wadau!
Imevuja;
Toka ndani ya viunga vya Magogoni ni kuwa Rais kamuita Mkuu wa Mkoa wa Dsm kwa mazungumzo/mahojiano.
Haijajulikana wazi sababu hasa ya kuitwa kwake, more news to come!
Source: mtu wa karibu na Mkuu wa mkoa
Usisahau kumwambia mama j akuletee stuli, chai iliyokolea mchaichai na mihogo ya kuchemshaNdio kumekucha hivyo,nimetupa kijembe nilichokua nalimia pembeni ya nyumba kusubiri hizi tetesi zitakuwa za ukweli au zitaishia hivyo hivyo!
Angalia usishangazwe utajaposikia ameitwa kuwa promoted: mshauri wa .....wa mambo ya .... na ulinzi...tehe tehe!Mwisho wa Makonda umewadia.
Kwan alienda na jwtz au jkt??Kodi zetu tunazohamasishwa kulipa zinatumika kuwabeba askari waliovaa nembo za taifa viunoni na vichwani tena wakiwa na bunduki,waende clouds kufuatilia video ya shilawadu?
Askari hawa waliopigana vita ya kagera?
Askari hawa waliopigana Moroni komoro?
Askari hawa walioituliza Kongo DR?
Askari hawa wenye sifa duniani kote ya kulikomboa bara la afrika?
Wanafanyishwa kazi ya kutafuta shilawadu?
Darasa alisema "too much"
Genta, kubeti huko mbona umekwenda mbali! Yasipotokea?
Ha ha ha,askofu mkuu.A single touch, double manifestation
ingia instagram ya mwanadada kichomiiHiyo vdeo iko wapi?
Shinda mphoaShigha vigwirane kangi [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] apa ngoja nichanganye tu na kilugha maana patam ndo kwanza nimejiunga halachachi[emoji41] [emoji41] Naangalia kwa ukarbu wa hali ya juu
nje hakuna CCTV cameras? wekeni tuwaone hao wanajeshi,, au hiyo footage mbona sioni mtu yeyote aliewekwa chini ya ulinzi? huyo mtu wa mapokezi mbona hana wasiwasi wowote??
nje hakuna CCTV cameras? wekeni tuwaone hao wanajeshi,, au hiyo footage mbona sioni mtu yeyote aliewekwa chini ya ulinzi? huyo mtu wa mapokezi mbona hana wasiwasi wowote??
Nenda Instagram angalia mange kimambiIyo vedio iko wap wajamenii
Ahahahaha swadakta!Usisahau kumwambia mama j akuletee stuli, chai iliyokolea mchaichai na mihogo ya kuchemsha
Ingia Instagram angalia mange kimambiTuwekeeni Huyo clip wakuu na sisi tuione
Ni rahisi kuthibitisha sio maana hamna kielelezo chochote kinachoonesha ni clouds tv!Unathibitisha vipi ile siyo clouds tv studio... Na rc anaenda wap saa tano kasoro usku na wajeda??