Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Hapa inaonyesha jinsi gani ana uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.
 
Spika Bosi wake ni Mkuu wa CCM, ambaye ni Raisi wa JMTZ, na fedha yote ya Serikali ya JMTZ msimamizi wake ni Raisi wa JMTZ, Bunge linapewa fedha za walipa kodi wa JMTZ na msimamizi wa Kodi zetu ni Raisi wa JMTZ, ...
Msimamizi wa kodi na mapato ya nchi ni bunge

Mkaguzi na mdhibiti ni CAG

Mkusanyaji na mtunzaji ni serikali



Serikali pia ni mtekelezaji wa bajeti
 
Msimamizi wa kodi na mapato ya nchi ni bunge

Mkaguzi na mdhibiti ni CAG

Mkusanyaji na mtunzaji ni serikali



Serikali pia ni mtekelezaji wa bajeti

Bunge linaongozwa na CCM, Mkuu wa CCM ni Raisi wa JMTZ!
 

Swali la 1
Wanalipwa kwa kodi za watz

Swali 2.
Kwa mgawano wa madaraka siyo kazi ya bunge kukusanya kodi.

Hapo mwisho
Hutakiwi kuhisi kwa akili ya kawaida bali kuelewa kwa akili ya kawaida kwamba kila mhimili una boss wake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli amejiabisha mno leo, ameuonesha Ulimwengu namna ambavyo Bunge letu lilivyo dhaifu.
Bunge ni dhaifu kweli maana souce ya mapato ya mishahara na posho inamtegemea Magufuli akusanye kodi
 
Hivi ndugu unaimbia 'praise quoir' ipi vile? ya Chamwino, Chato au zote?
Kama huko kutoa faraja na matumaini hewa kwa Taifa, wewe waona ndio kuwa 'positive', ndugu yangu nina wasiwasi kama waielewa hata mantiki yenyewe.
 
Hivi kuna watu walitarajia uchaguzi huru na wa haki oktoba? Kwa dalili zipi labda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio kbs mjuzi wa kariba yetu. Ila kwa uchache wa ninayofahamu bunge ni mhimili unaojisimamia kupitia Spika anayechaguliwa na Wabunge. Paskali Mayala, wewe ni Mwandishi na sio Mhandisi pia wewe ni Mwanasheria nguli. Je tamko la Rais la kusema ameagiza kutolipwa posho kwa Wabunge ambao watagomea kuingia bungeni kwa kinachoitwa kujitenga na maambukizi ya Corona, hii ina leta picha gani kiutendaji kati ya Bunge/ Spika na ofisi ya Rais. Naomba ufafanuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mishahara ya wabunge inatolewa na serikali
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
tuna mhimili mmoja tuu tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…