Rais anapata wapi mamlaka ya kuagiza Spika asilipe posho za Wabunge?

Serikali ndiyo inakusanya kodi. Lakini sheria ndiyo.inaendesha nchi kupitia hiyo.inayoitwa katiba. Usijitoe akili katiba imehalalisha wabunge wakikosa imani na Rais wanaweza kupiga kura kumtoa.

Kwa hiyo hakuna aliye juu ya mwenzake.kikatiba. kinnyume na hapo ni udikteta.
 
Kwanini walipwe?
 
Nani alikuambia bunge halipo mfukoni mwa mtu.
 

Attachments

  • 2361894_images.jpeg
    31.4 KB · Views: 1
Jibu lipo kwenye hii katuni
 
Hujui kwamba Rais akipeleka Jambo bungen na binge likakataa Rais anaweza akavunja Baraza la mawaxiri na bunge?

Yan Ile power ya mbunge na bunge inakuwa haipo mpaka atakapoitisha uchaguzi?

Au hujajiuliza kwann kipindi kile Magufuli alkuwa Hana mawaxiri Mambo yalikuwa yanaenda vizuri Ila Mambo zilianza kumsumbua pale aliteua Baraza la mawaxiri.

Hata nyumban Kuna mihili mitatu ya familia Yan Baba, Mama, na watoto na kila mtu ana nafasi yake katika uamuzi wa Jambo pia ujue mama au mtoto wanaeza wakaamua Jambo lakini baba akakataa lakini baba hawez kukatalliwa Jambo lolote baina ya mama au mtoto.

Nachomekea " Kama wewe n mtu mzima na unaishi na mwenzio naamini unajua Kuna Jambo mama akilita kwa baba, baba anaweza kukataa lakini Jambo hilohilo baba akilitaka kwa mama Yan mama hatai nahuwa sio lazima Bali n wajibu wa ndoa"

Kwahyo elimu yetu itufundishe kufungua akili sio kuishi kwenye maandishi yatupasa kuongezea maono mbele
 
Hili swali nimeuliza kutokana na ile dhana ya mgawanyo wa kimadaraka wa mihimili ya dola!!
 
Tuliwaonya Chadema

Mbowe alaumiwe ktk hili

Ukishakua mbunge unafuata sheria za bunge na sio chama

Nitawashangaa wabunge km wataendelea kubaki Chadema
 
Lipo wazi asiye fanya kazi na asile ilakiongozi katafuta keep kiki nisawa na Mwambe alivo jivua chadema siasa chafu
 
Mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu, analipaje watu posho huku hawaifanyii kazi hiyo posho?
 
Na hizo kodi zinakusanywa kutoka kwa nani??Je hizo kodi ni mali ya mtu mmoja kuwa anaweza amua afanye chochote au asifanye...??
Kupewa dhamana ya kusimamia haimaanishi ni zako...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…