Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Sasa si bora huyo kuliko yule alikuwa anaelekeza miradi yote chatoRais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.
Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.
Huu ni wizi wa mchana kweupe
Mbona hujaonyesha ushahidi wa kutokuwa na faida kwa Royal tour badala yake unabwabwaja kama uji unatokota?Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.
Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.
Huu ni wizi wa mchana kweupe
Kupata watalii wa nje si lelemama , kuna ushindani mkubwa sana, lazima Tanzania ijitangaze- iwekee vivutio vyake hadharani, na hasa kama Rais anashiriki - lazima habari zitasambaa kwa haraka zaidi.Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.
Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.
Huu ni wizi wa mchana kweupe
Ndiyo uwezo wake umeishia hapoRais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.
Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.
Huu ni wizi wa mchana kweupe
Rais ni taasisi bwashee!Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.
Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.
Huu ni wizi wa mchana kweupe
Hakuna lolote, tungemuweka Messi au Ronald kwa wiki moja tu watalii wangejaa mpaka kwenye nyumba za tembe Singida tena kwa gharama ndogoKupata watalii wa nje si lelemama , kuna ushindani mkubwa sana, lazima Tanzania ijitangaze- iwekee vivutio vyake hadharani, na hasa kama Rais anashiriki - lazima habari zitasambaa kwa haraka zaidi.
Au tumuweke Mwamba!Hakuna lolote, tungemuweka Messi au Ronald kwa wiki moja tu watalii wangejaa mpaka kwenye nyumba za tembe Singida tena kwa gharama ndogo