Mbona hujaonyesha ushahidi wa kutokuwa na faida kwa Royal tour badala yake unabwabwaja kama uji unatokota?
Picha hii iliwahi kusababisha hasira Kali sana nusra maafa yatokee
Mkuu Charles2016, kwanza hongera kwa utambuzi wa juhudi za ujenzi wa miundombinu wa awamu ya 5, pili ni vyema unapotaka kumuelimisha mtu si vyema ukaanza na kumvujia heshima yake. Aidha napenda nikujulishe kuwa SGR imejengwa ili kuboresha miundombinu ya reli, ndio maana njia yake ni ile ile; bwawa la Rufiji linajengwa ili kuongeza umeme wa kutosha na limejengwa sehemu ileile iliyoelekezwa tangia miaka ya 70; Daraja la Ubungo limejengwa sehemu ileile ambayo ilikuwa na kero ya foleni za magari; nk. Sasa hivi vya International Airport kulikuwa na msongamano wa abiria na ndege? International Football Stadium - Tunataka kuchezesha KOMBE LA DUNIA siku za hivi karibuni? ama kuna Klabu ya ligi ya daraja la pili? nk.. Kwa mantiki hiyo, hayo sio matumizi mazuri ya fedha za Serikali, kwa maana ya fedha zitokanazo na KODI YA WATANZANIA.Wewe ni ziro kabisa, Kwa hiyo SGR, Bwawa la Rufiji, Ubungo interchange, Salender bridge, etc... vimejengwa chato?!!!
Mkuu Charles2016, kwanza hongera kwa utambuzi wa juhudi za ujenzi wa miundombinu wa awamu ya 5, pili ni vyema unapotaka kumuelimisha mtu si vyema ukaanza na kumvujia heshima yake. Aidha napenda nikujulishe kuwa SGR imejengwa ili kuboresha miundombinu ya reli, ndio maana njia yake ni ile ile; bwawa la Rufiji linajengwa ili kuongeza umeme wa kutosha na limejengwa sehemu ileile iliyoelekezwa tangia miaka ya 70; Daraja la Ubungo limejengwa sehemu ileile ambayo ilikuwa na kero ya foleni za magari; nk. Sasa hivi vya International Airport kulikuwa na msongamano wa abiria na ndege? International Football Stadium - Tunataka kuchezesha KOMBE LA DUNIA siku za hivi karibuni? ama kuna Klabu ya ligi ya daraja la pili? nk.. Kwa mantiki hiyo, hayo sio matumizi mazuri ya fedha za Serikali, kwa maana ya fedha zitokanazo na KODI YA WATANZANIA.Wewe ni ziro kabisa, Kwa hiyo SGR, Bwawa la Rufiji, Ubungo interchange, Salender bridge, etc... vimejengwa chato?!!!
Kupata watalii wa nje si lelemama , kuna ushindani mkubwa sana, lazima Tanzania ijitangaze- iwekee vivutio vyake hadharani, na hasa kama Rais anashiriki - lazima habari zitasambaa kwa haraka zaidi.
Exactly, Bora ya Samia kuliko yule diktetaSasa si bora huyo kuliko yule alikuwa anaelekeza miradi yote chato
Hivi kwa nini JF imekuwa na mapimbi wengi kama hili??Chadema: Mama anaupiga mwingi sana ,Mataga na Sukumagang watanyooka tu
Umenena vyema na umefahamisha kwa ustaarabu. Kwa nini siku hizi vijana wakijibu hoja huwa wanaanzia na matusi? Tena wengine bila ya aibu kabisa, au kwa kuwa hawaonekani ndiyo wanaona ni sawa tu kumwaga matusi?Mkuu Charles2016, kwanza hongera kwa utambuzi wa juhudi za ujenzi wa miundombinu wa awamu ya 5, pili ni vyema unapotaka kumuelimisha mtu si vyema ukaanza na kumvujia heshima yake. Aidha napenda nikujulishe kuwa SGR imejengwa ili kuboresha miundombinu ya reli, ndio maana njia yake ni ile ile; bwawa la Rufiji linajengwa ili kuongeza umeme wa kutosha na limejengwa sehemu ileile iliyoelekezwa tangia miaka ya 70; Daraja la Ubungo limejengwa sehemu ileile ambayo ilikuwa na kero ya foleni za magari; nk. Sasa hivi vya International Airport kulikuwa na msongamano wa abiria na ndege? International Football Stadium - Tunataka kuchezesha KOMBE LA DUNIA siku za hivi karibuni? ama kuna Klabu ya ligi ya daraja la pili? nk.. Kwa mantiki hiyo, hayo sio matumizi mazuri ya fedha za Serikali, kwa maana ya fedha zitokanazo na KODI YA WATANZANIA.
Kama yeye akipata, mfano 1% na Serikali ikapata 99% kwenye utalii kwani kuna ubaya gani? Au alitakiwa afanye kazi ya bure halafu aambiwe ahsante sana? Dunia hii mambo yamebadilika ni ya nipe nikupe.Marehemu Ruge angekuwepo ningesema yuko behind the scene ku broke hii deal ya Royal Tour. Hii safari yenye documentary kuinyesha vivutio vya utalii ni nzuri sana na itachangia kuleta watalii na haswa ikionyeshwa National Geographic na platforms zingine.
Kwa asili yetu watanzania kila kitu huwa ni fursa ya watu kupata pesa za ziada at the expense ya walipa kodi. Nahisi huu mchongo umekuwa engineered na Mtu mmoja alikuwa mkaazi wa UK baadae akawa mshauri wa raisi wa visiwani huyu ni very creative kwenye deal za namna hii na lazma ana ganji yake ya nguvu. Naunga mkono tour hii na nasema Kazi iendelee lakini yale ya kigwangalah yasije yaka tripple.
King of Bollywood and King of romance. Labda angevutia vijana wengi kufika kwenye mbuga zetu.
asipodhibitiwa mapema atakuja kututia mihasara mikubwa zaidi ya hii ya ATCLRais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.
Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.
Huu ni wizi wa mchana kweupe
dodo kwenye mnazi siyo !!urais wa kuokota
Mkuu ndivyo walivyo, hivyo ni wajibu wetu kuwarudisha katika utu na heshima za kibantu na Kitanzania. Hivi vitu Serikali huvitekeleza kwa kuzingatia vipaumbele kwa wakati huo. Mfano; Bwawa la JKN (SG) si kwamba JKN hakulijenga kwa sababu za kelele za wataalamu wa Mazingira Duniani, hapana! ila ni kwa sababu ya mahitaji ya umeme kwa wakati ule yalitosha na ziada pia, hivyo (SG) haikuwa vipaumbele kwa wakati ule ukilinganisha na miradi ya maji safi na salama, elimu, afya, barabara, viwanda, kilumo nk.Umenena vyema na umefahamisha kwa ustaarabu. Kwa nini siku hizi vijana wakijibu hoja huwa wanaanzia na matusi? Tena wengine bila ya aibu kabisa, au kwa kuwa hawaonekani ndiyo wanaona ni sawa tu kumwaga matusi?
Haya ni maneno ya chuki na husuda tu kwa nia na lengo la kututoa kwenye njia sahihi ya kuitafutia fedha nchi yetu kwa njia ya kutangaza VIVUTIO VYETU VYA UTALII tulivyo navyo hapa nchini. Na hiyo kazi haiwezi kufanyika bila kuwa na gharama kiasi fulani. Hicho kitendo kinaitwa KUWEKEZA kwa nia na lengo la kuvutia pesa kutoka nje.Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.
Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.
Huu ni wizi wa mchana kweupe