Inazekana kbsa izo pesa azitoki
Ktk bajeti ya nchi na izo pesa zinaweza kabisa zisiwe kodi zetu
Tunachoshindwa kuelewa Watz kwamba raisi ni mtu mkubwa sana na kuna wafanyabiashara weng sana wanaitaji kua karibu na Raisi so inawezekana kbsa izo pesa zinatoka kwa wafanya biashara wanaotaka kua krb na raisi wanatoa pesa zao wanajua kuna kitu wanafaidika au watafaidika apo badae.
Unaweza kuta izi pesa zinatolewa na kina Mo,Gsm,azam na matajiri wengne
Shida ya wabongo tunazan Raisi ni kitu kdg na akili zetu ndogo tunazan pesa zinatoka hazina kwa maana yake ni kodi za wananchi.
Kuna ile kampuni ya Cargo ile ya warabu naskia hawalipi kodi nying bandarini na mizigo yao haikaguriwi, ukitaka mzgo wako usikaguriwe na usilipe kodi nying bas safirisha na ile kampuni SO
sa unazan kampuni km iyo inashindwa kutoa bilion2 au 5 zikampa raisi kwa ajiri ya goli la mama