Pre GE2025 Rais anazipa Simba na Yanga pesa kila goli (Goli la Mama), anazitoa wapi? Msigwa ajibu "Pesa anazotoa ni ndogo"

Pre GE2025 Rais anazipa Simba na Yanga pesa kila goli (Goli la Mama), anazitoa wapi? Msigwa ajibu "Pesa anazotoa ni ndogo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha uzwazwa wewe! Hilo fungu lipo kwenye kifungu kipi cha bajeti iliyoidhinishwa ba Bunge? Linawekewa shilingi ngapi kwa mwaka wa fedha?

Hizo pesa zinatumikaje? Huu ni wizi wa pesa wa pesa za walipakodi wa hili Taifa.

Yaani mimi pesa yangu ninayoipata kwa jasho inaenda kulipia magoli ya simba na yanga? Tena hata bila Bunge kuidhinisha?

Huu ni wizi tu kama wizi mwingine.
Wewe nyumbu huwezi jua kitu. Tafuta taarifa za Consolidate Fund za Serikali ya JMT kama unataka kuelewa zaidi. Ila kwa kuwa ni nyumbu sidhani kama utazipata zaidi utaendelea kuandika ujinga tu hapa na nyumbu wenzako watakupa like!
 
Msigwa bro shvdccdkjdvdivctyjjbd
Wakinga na uchawa wala hatufananii..!!
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amemjibu kuhusu hpla za 'Goli la Mama' kwa timu za mpira wa miguu za Simba na Yanga ambazo hutolewa kama motisha baada ya kufunga goli kwenye michuano ya Kimataifa

Hamna alichojibu zaidi ya blah blah na kujimwambafai tu unaulizwa pesa anatoa wp unajibu hilo fungu analo, aiseh
 
Wewe nyumbu huwezi jua kitu. Tafuta taarifa za Consolidate Fund za Serikali ya JMT kama unataka kuelewa zaidi. Ila kwa kuwa ni nyumbu sidhani kama utazipata zaidi utaendelea kuandika ujinga tu hapa na nyumbu wenzako watakupa like!
Yaaani consolidated fund ndo itumike kulipia magoli ya Yanga na Simba?

Unajua hata matumizi ya Consolidate Fund kikatiba we kilaza?

Kweli CCM mmejaa wajinga sana.
 
Sheria zikitungwa na wanaonufaika na sheria bado ni sheria japo hazitafaa.Hivi unajua vichaa nao wanasheria zao?
Kama unaona sheria hizo hazifai si uende makahamani ukazipinge mkuu!!?
 
Yaaani consolidated fund ndo itumike kulipia magoli ya Yanga na Simba?

Unajua hata matumizi ya Consolidate Fund kikatiba we kilaza?

Kweli CCM mmejaa wajinga sana.
Wewe nyumbu hujui kitu endelea kulalamika tu kwenye mitandao ukichoka kojoa ukalale nyumbu.
 
Ukweli ni kuwa hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu kwani hela hizo hazisaidii kuinua kiwango cha mchezo huo bali zinamjenga Samia kisiasa yeye binafsi.
 
Wewe nyumbu hujui kitu endelea kulalamika tu kwenye mitandao ukichoka kojoa ukalale nyumbu.
Ulivyosema tu Consolidate Fund ndo nimegundua we ni kilaza wa mwisho. Nyie ndo mtaji wa CCM🤣🤣🤣
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amemjibu kuhusu hpla za 'Goli la Mama' kwa timu za mpira wa miguu za Simba na Yanga ambazo hutolewa kama motisha baada ya kufunga goli kwenye michuano ya Kimataifa

Tanzania yetu ni "bustani ya edeni" hapa duniani....

Rais ,JMT ,sisi wananchi ni KITU KIMOJA.....

Rais wetu ni MFARIJI mkuu na HAHOJIKI NA KUZODOLEWA hapa bustani Edeni ya duniani.....
 
Ukweli ni kuwa hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu kwani hela hizo hazisaidii kuinua kiwango cha mchezo huo bali zinamjenga Samia kisiasa yeye binafsi.
Ulitaka yakamjenga yule Mbelgiji au?
 
Ulivyosema tu Consolidate Fund ndo nimegundua we ni kilaza wa mwisho. Nyie ndo mtaji wa CCM🤣🤣🤣
Wewe ni nyumbu hata hujui Rais ana Vote yake na hunauwezo wewe nyumbu kuijua wala kuiona! Endelea kucheka tu kama shoga tu!!
 
Inazekana kbsa izo pesa azitoki
Ktk bajeti ya nchi na izo pesa zinaweza kabisa zisiwe kodi zetu

Tunachoshindwa kuelewa Watz kwamba raisi ni mtu mkubwa sana na kuna wafanyabiashara weng sana wanaitaji kua karibu na Raisi so inawezekana kbsa izo pesa zinatoka kwa wafanya biashara wanaotaka kua krb na raisi wanatoa pesa zao wanajua kuna kitu wanafaidika au watafaidika apo badae.

Unaweza kuta izi pesa zinatolewa na kina Mo,Gsm,azam na matajiri wengne

Shida ya wabongo tunazan Raisi ni kitu kdg na akili zetu ndogo tunazan pesa zinatoka hazina kwa maana yake ni kodi za wananchi.

Kuna ile kampuni ya Cargo ile ya warabu naskia hawalipi kodi nying bandarini na mizigo yao haikaguriwi, ukitaka mzgo wako usikaguriwe na usilipe kodi nying bas safirisha na ile kampuni SO

sa unazan kampuni km iyo inashindwa kutoa bilion2 au 5 zikampa raisi kwa ajiri ya goli la mama
 
Back
Top Bottom