Rais atayekuja 2030, atakuwa na raha sana, Samia kasafisha njia

Rais atayekuja 2030, atakuwa na raha sana, Samia kasafisha njia

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,175
Reaction score
2,294
Miradi mikubwa yote kama Madaraja makubwa, Fly overs DSM, Mwendo kasi, SGR, Bwawa la umeme- Nyerere, miradi ya Kilimo Dodoma, Mahusiano na nchi za nje, wawekezaji kibao, Royal Tours, Bandari n.k itaisha mwaka 2028.

Hii inamaanisha kwamba yule Rais ajaye 2030 kazi yake ni kukusanya kodi tu toka miradi mikubwa kama hii.
Huyo Rais atakusanya takriban 4 trilioni kila mwezi. Hata kuwa na kazi. Kweli hata mimi kapuku nitaweza kuwa Rais. Hongera mama!
 
Nadhani Raisi wa 2030 atasumbuliwa na masuala yafuatayo.

1. Ukosefu wa AJIRA.

2. Kuongezeka idadi ya MASIKINI.

3. Kupanda kwa GHARAMA za maisha mijini na vijijini.

4. Mzigo wa MADENI ya serikali ndani na nje ya nchi.
 
Miradi mikubwa yote kama Madaraja makubwa, Fly overs DSM, Mwendo kasi, SGR, Bwawa la umeme Nerere, miradi ya Kilimo Dodoma, Mahusiano na nchi za nje, wawekezaji kibao, Roral Tours, Bandari n.k itaisha mwaka 2028.

Hii inamaanisha kwamba yule Rais ajaye 2030 kazi yake ni kukusanya kodi tu toka miradi mikubwa kama hii.
Huyo Rais atakusanya takriban 4 trilioni kila mwezi. Hata kuwa na kazi. Kweli hata mimi kapuku nitaweza kuwa Rais. Hongera mama!
Kabisa maana kuanzia kufumua mitaala ya Elimu Hadi kufanya Mageuzi ya sekta ya Kilimo,mifugo na uvuvi.

Huduma za jamii na miundombinu ya uchumi ndio kabisaa hana mpinzani.
 
Miradi mikubwa yote kama Madaraja makubwa, Fly overs DSM, Mwendo kasi, SGR, Bwawa la umeme Nerere, miradi ya Kilimo Dodoma, Mahusiano na nchi za nje, wawekezaji kibao, Roral Tours, Bandari n.k itaisha mwaka 2028.

Hii inamaanisha kwamba yule Rais ajaye 2030 kazi yake ni kukusanya kodi tu toka miradi mikubwa kama hii.
Huyo Rais atakusanya takriban 4 trilioni kila mwezi. Hata kuwa na kazi. Kweli hata mimi kapuku nitaweza kuwa Rais. Hongera mama!
Mawazo ya mtu mwenye akili fupi
 
Miradi mikubwa yote kama Madaraja makubwa, Fly overs DSM, Mwendo kasi, SGR, Bwawa la umeme Nerere, miradi ya Kilimo Dodoma, Mahusiano na nchi za nje, wawekezaji kibao, Roral Tours, Bandari n.k itaisha mwaka 2028.

Hii inamaanisha kwamba yule Rais ajaye 2030 kazi yake ni kukusanya kodi tu toka miradi mikubwa kama hii.
Huyo Rais atakusanya takriban 4 trilioni kila mwezi. Hata kuwa na kazi. Kweli hata mimi kapuku nitaweza kuwa Rais. Hongera mama!
Umewaza Vyema!

Lakini mpk 2027 Nchi itakuwa tayari inakusanya above 4T.

Mambo mengi sana yatakuwa yameshatokea!

Hapa panahitajika Mkakati wa kuandaa Watanzania watakaopokea Utajiri wa Nchi na Kuuendeleza kwa kushindana na Mataifa Tajiri!!
 
Hapana. Rais ajaye kama atakuwa Mzalendo wa kweli atapata taabu sana kuikomboa Nchi kutoka katika mikono ya Waarabu.

Maana mpaka wakati huo, yawezekana Rasilimali zote muhimu za huku Bara zitakuwa zimeshikiliwa na Waarabu.
 
Miradi mikubwa yote kama Madaraja makubwa, Fly overs DSM, Mwendo kasi, SGR, Bwawa la umeme Nerere, miradi ya Kilimo Dodoma, Mahusiano na nchi za nje, wawekezaji kibao, Roral Tours, Bandari n.k itaisha mwaka 2028.

Hii inamaanisha kwamba yule Rais ajaye 2030 kazi yake ni kukusanya kodi tu toka miradi mikubwa kama hii.
Huyo Rais atakusanya takriban 4 trilioni kila mwezi. Hata kuwa na kazi. Kweli hata mimi kapuku nitaweza kuwa Rais. Hongera mama!
Unajua flyover wew au unakariri! Bongo bado hatuna flyover bali ni daraja tu la juu. NB Hayo uliyoainisha kua kayafanya, ngoja waje wahusika wa miradi hiyo Sgang aka walinda legacy!!
 
Hapana. Rais ajaye kama atakuwa Mzalendo wa kweli atapata taabu sana kuikomboa Nchi kutoka katika mikono ya Waarabu.

Maana mpaka wakati huo, yawezekana Rasilimali zote muhimu za huku Bara zitakuwa zimeshikiliwa na Waarabu.
Kipindi hicho Nusu ya wa-TZ wapo Dubai na Qatar au sio mama anaona mbali
 
Miradi mikubwa yote kama Madaraja makubwa, Fly overs DSM, Mwendo kasi, SGR, Bwawa la umeme Nerere, miradi ya Kilimo Dodoma, Mahusiano na nchi za nje, wawekezaji kibao, Roral Tours, Bandari n.k itaisha mwaka 2028.

Hii inamaanisha kwamba yule Rais ajaye 2030 kazi yake ni kukusanya kodi tu toka miradi mikubwa kama hii.
Huyo Rais atakusanya takriban 4 trilioni kila mwezi. Hata kuwa na kazi. Kweli hata mimi kapuku nitaweza kuwa Rais. Hongera mama!
Lucas Mwashambwa wa kike katika ubora wako umesahau tu kuweka namba ya simu
 
Miradi mikubwa yote kama Madaraja makubwa, Fly overs DSM, Mwendo kasi, SGR, Bwawa la umeme Nerere, miradi ya Kilimo Dodoma, Mahusiano na nchi za nje, wawekezaji kibao, Roral Tours, Bandari n.k itaisha mwaka 2028.

Hii inamaanisha kwamba yule Rais ajaye 2030 kazi yake ni kukusanya kodi tu toka miradi mikubwa kama hii.
Huyo Rais atakusanya takriban 4 trilioni kila mwezi. Hata kuwa na kazi. Kweli hata mimi kapuku nitaweza kuwa Rais. Hongera mama!
Duh!

Kazi kweli kweli!
 
Unajua flyover wew au unakariri! Bongo bado hatuna flyover bali ni daraja tu la juu. NB Hayo uliyoainisha kua kayafanya, ngoja waje wahusika wa miradi hiyo Sgang aka walinda legacy!!
Jamani hawa walikuwa wote, kwanini mnasahau! Ni kama kaka mtu na dada, sasa kaka hayupo usukani kashika Dada aka Mama. Tumpeni maua yake kwa kuendeleza na kukamilisha kazi alizozianza akiwa na Magu. Kakiri mwenyewe kuwa anaendeleza kazi alizoziacha Magu. Kazi iendelee!
 
Mawazo ya mtu mwenye akili fupi
Akili kubwa ndugu yangu. Fikiria Megawat 2000 mijini na vijijini, viwandani na mashuleni n.k. Fikiria Tanzania yenye bandari zenye ufanisi mara 10 zaidi ya leo. Aisee wanaolisukuma gurudumu la maendeleo haya tuwapigie makofi.
 
Sijui, Tsh yenyewe ipo kwenye free fall. Mikopo inalipwa kwa dola, hata ile inayoitwa ya riba nafuu. Ukipiga mahesabu ya kuporomoka kwa thamani ya shilingi unakuta riba yake ni zadi ya 20%.

Huku Ngwigulu anasema bado tunakopesheka 🤣.

2025 tumpe nchi Dr. Mpango, mchumi safi na mzalendo.
 
Nadhani Raisi wa 2030 atasumbuliwa na masuala yafuatayo.

1. Ukosefu wa AJIRA.

2. Kuongezeka idadi ya MASIKINI.

3. Kupanda kwa GHARAMA za maisha mijini na vijijini.

4. Mzigo wa MADENI ya serikali ndani na nje ya nchi.
Sikubali hoja yako. Ni hivi, kukopa si tatizo kama kama kile ukifanyacho kitaleta pesa. Miradi yote anayoifanya mama leo italeta pesa nyingi sana kesho. Hivyo hayo madeni yatakuwa yanalipika na watanzania kufurahia umeme, mazao mengi na ongezeko la ajira. Fungua macho na yaangalie anayofanya mama kwa macho matatu.
 
Back
Top Bottom