Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
2281043_Lugola_Andengenye.jpg

Nafuatilia Hotuba ya Mh Rais Magufuli akiwa anahutubia Askari Magereza katika sherehe ya uzinduzi wa jengo la ofisi za Magereza, sasa hivi kupitia TBC1 amekiri kuwasamehe wale viongozi wote walioshiriki kusaini mkataba uliokuwa na viashria vya rushwa akiwemo aliyekuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaj ndugu Andengenye na wenzake wanne.

Sambamba na msahama huo ameaidi kumpangia kazi nyingine ndugu Andengenye.

Sambamba na msamaha huo hajaweka wazi kama na yule mzee wetu aliyekuwa mjeda na baadae akawa mbeba sime ya Spika na baadae Waziri mzuri mkata mauno kama nae atamsamehe au la!?

Pia amewatakaMkuu Wilaya ya Dodoma na mkurugenzi wa Jiji la Dodoma wapunguze KUOKOTA sasa WAOE.

Pia soma > Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Over.
 
Utawala huu ukikukubali hata kama utavurunda utapeta tu, Sasa ombea wasikukubali utakomaaa

Ova
 
Kwaiyo nchi hii wezi wanaomba msamaha kesi inaisha?....nazani huo msamaha uende mpaka walioko magereza wapangwe uwanjani waombe msamaha kwa pamoja waachiwe wakajumuike na familia zao....inatia hasira Sana kuona wezi wa mabilion wanasamehewa bila kurudisha alafu mwizi wa simu anachomwa Moto mtaani au kuhukumiwa miaka 2
 
Namfatilia Hotuba ya Mh Rais akiwa anauhutubia Asakri Magereza sasa hivi kupitia TBC1 amekili kuwasamehe Akiwemo Andengenye na wenzake ila hajasema kuhusu kangi lugora.

Ila dalili njema kwa kangi hizi pengine na yy atasamehewa.

Andengeye ameomna msmaha mara tatu amesehewa na atapangiwa kazi nyingine.

Over.
Umeandika uchafu gani ww
 
Namfatilia Hotuba ya Mh Rais akiwa anauhutubia Asakri Magereza sasa hivi kupitia TBC1 amekili kuwasamehe Akiwemo Andengenye na wenzake ila hajasema kuhusu kangi lugora.

Ila dalili njema kwa kangi hizi pengine na yy atasamehewa.

Andengeye ameomna msmaha mara tatu amesehewa na atapangiwa kazi nyingine.

Over.
Kuna kukurupuka na kukurupushwa. Wewe yamekusibu yapi?
 
Hivi raisi anaweza kumsamehe mtu ambaye ndo yupo katika uchunguzi!!! Na hela zetu walipa kodi nani atazirudisha??
Ameshindwa kusema tuu kwamba walio mjaza ujinga ilikuwa ni uongo. Ame kuja kugundua too late. Kwa kuficha aibu ana sema kawasamehe. Lakini tayari amewaharibia future yao.. Mzee baba ana takiwa aache kukurupuka..
 
Kumbe Sio Mahakama Tena inayowatia watu hatiani au kuwafutia mashitaka bali ni rais? Majizi Yanajuana Na Kusameheana
Watu mnajitekenya ninyi. Hawa walisimamishwa kupisha Uchunguzi. Walifunguliwa mashtaka lini? Tuhuma zao ilikuwa kusaini mkataba usio na maslahi kwa Taifa , wakisainia nje ya nchi. Mkataba umevunjwa sasa mumeibiwa nini? saini?
 
June 11, 2020
Dodoma, Tanzania

JPM ''WEWE ULIKUWA UNATAKA KUONDOKA LAKINI NIMEKUSAMEHE LEO''

Changamoto katika jeshi la zimamoto zilikuwepo nyingi ikiwemo kupandisha vyeo maofisa na askari wa Zimamoto wakati ikiwa ni idara chini ya wizara ya ujenzi na Uchukuzi wakati nikiwa waziri. Hivyo tulilihamisha jeshi la zimamoto kwenda Mambo ya Ndani. Lakini bado kuna changamoto kubwa ya vitendea kazi ikiwemo magari ya zimamoto na vifaa vingine vya uokozi.

Maafisa 4 ngazi ya Ukamishna wa Jeshi la Zimamoto waliokuwa wamependekezwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu ikiwemo kuteremshwa vyeo wamesamehewa pia Kamishna Jenerali wa zamani amesamehewa na atapangiwa kazi nyingine lakini siyo ktk Jeshi la Zimamoto.
Source : Ngasa TV
 
Ameshindwa kusema tuu kwamba walio mjaza ujinga ilikuwa ni uongo. Ame kuja kugundua too late. Kwa kuficha aibu ana sema kawasamehe. Lakini tayari amewaharibia future yao.. Mzee baba ana takiwa aache kukurupuka..
Hivi unaamini kwamba zile tuhuma zilikuwa genuine? Yaani kwenye utawala huu ambao rais anataka afanye hadi ufunguzi wa vitu vilivyo kwisha funguliwa awali ili tu apate 'ujiko'.

Yaani kwamba Lugola na Andengenye walisaini contract ya 1trl+ bila rais kujua?
 
Back
Top Bottom