The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Ni kwa sababu ni hadithi za uongo sasa zinajiwekea defense kwamba hazichunguziki, zisihojiwe ili watu waendelee kua wajinga waziamini.Hakuna taifa safi ila kuna makusudi ya Mungu. Na njia za Mungu hazichunguziki. Hekima yake iko zaid ya ufahamu wako. Ndio maana unaweza kukuta mtu ni mbaya lakin kuna siku akawafaa pamoja na kuwa mnajua ni mbaya. So jitahd ujifunze usiwekee ujuaji kwenye kutaka kujua. Maana mambo ya Mungu hutafundishwa na mwanadamu. Ni special ufahamu unaupata.
Hayo mambo ambayo hayaruhuswi na mwanadamu, wewe ulifundishwa na nani boss? Na Mungu mwenyewe? Mlikua wapi wakati anakufundisha?