Ni kwa sababu ni hadithi za uongo sasa zinajiwekea defense kwamba hazichunguziki, zisihojiwe ili watu waendelee kua wajinga waziamini.
Hayo mambo ambayo hayaruhuswi na mwanadamu, wewe ulifundishwa na nani boss? Na Mungu mwenyewe? Mlikua wapi wakati anakufundisha?