Rais Biden aliomba Bunge kuidhinisha dola bilioni 33 kuisaidia Ukraine kukabiliana na uvamizi wa Urusi

Dikteta ni kiongozi yoyote wa serikali anayeingia madarakani bila ridhaa ya wananchi walio wengi kupitia mchakato huru na wa haki wa sanduku la kura.

Baraza la Seneti la Marekani halipigi kura za kumchagua Rais, usichanganye seneti na "electoral college".
Niambie nini maana ya udictator ? Kwa hio na marekani lile Baraza la Senate ni udictator ambao kura zao zinaweza kumfanya mtu kuwa Rais au kutokuwa Rais Napo kunaudictator

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini maamuzi ya marekani lazima yaidhinishwe na watu wachache Wana utofauti gani na uo udictator unaouita wa china

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani katika 33 utoe ishirini kusaidia jeshi halafu useme husaidii vita? Kweli us ni magosha,
Wazungu si watu wazuri
 
Ndio Marekani Rais anachaguliwa na wananchi kwa ujumla. Kura za wananchi katika jimbo ndizo zinaamua mshindi atakayepata electoral votes za jimbo.

Mgombea Urais wa Marekani anayeongoza kwa wingi wa kura za wananchi katika jimbo moja anachukua kura zote za electoral college za hilo jimbo zilizowekwa na katiba na mwenzake anahesabika ni 0 kwenye hilo jimbo.
Kwani marekani Rais anachaguliwa na wananchi kwa ujumla?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kumbe bbc!!! Basi sawa
 
If you believe a country can become the second largest economy in just two years.
He was vice president from 2008, two years before China ascended to the second position.
Uchumi hauwezi kukuzwa miaka miwili Ila unaweza kuendelezwa kwa miaka mingi ndio maana unaona xi Jinping after being a vice president akashinda urais then wanapanga kumuongezea third term

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofauti ni kwamba Marekani wananchi hupiga kura kumchagua Rais kisha wawakilishi wa wale wengi walioshinda katika kila jimbo wanaidhinisha ushindi kwa sababu Marekani ni United "States", China wananchi wake wa kawaida hawapigi kura kabisa kumchagua Rais wao, hata viongozi wengine wa ngazi za chini huchaguliwa na "wajumbe" chini ya udhibiti wa mkali chama cha Kikomunisti.
Kwa nini maamuzi ya marekani lazima yaidhinishwe na watu wachache Wana utofauti gani na uo udictator unaouita wa china

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchumi hauwezi kukuzwa miaka miwili Ila unaweza kuendelezwa kwa miaka mingi ndio maana unaona xi Jinping after being a vice president akashinda urais then wanapanga kumuongezea third term

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamkumbuka Franklin Delano Roosevelt Rais wa marekani aliyeongezewa muda after two term za miaka jumla nane wakamuongezea mingine minne same as China did to Xi Jinping

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Do you remember Trump circumstances against the U.S.A election 2020 . election was scam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katiba ya Marekani ilikuwa haijaweka ukomo wa vipindi viwili vya urais hadi mwaka 1947 bunge la Marekani lilipofanya hivyo. Marais wote waliopita walikuwa wanaishia vipindi viwili kama utamaduni tu ukizingatia Rais wao wa kwanza alitumikia vipindi viwili tu.
Unamkumbuka Franklin Delano Roosevelt Rais wa marekani aliyeongezewa muda after two term za miaka jumla nane wakamuongezea mingine minne same as China did to Xi Jinping

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafahamu ni process gani walitumia mpaka kumuongezea muda au unadhani walimuongezea muda Kama utamaduni tu bila kuvunja Baadhi ya vifungu vya sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuongezewa muda, aligombea ndani ya chama chake cha Democrat akashinda kwa muhula wa tatu na wa nne baada ya kuwashinda wagombea wa Republicans kitaifa pia katika mihula yote ya 3 na 4.
Unafahamu ni process gani walitumia mpaka kumuongezea muda au unadhani walimuongezea muda Kama utamaduni tu bila kuvunja Baadhi ya vifungu vya sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaitwa "representative democracy" na sio kwamba ni kamilifu au haina dosari ila ni demokrasia. China haina demokrasia kabisa.
Aya sawa endelea kuamiani china haina demokrasia huku ikiwa na multipartism za kutosha na misingi ya demokrasia wakifuata kutokana na na namna wachina walivyo .Modern democracy socialism with Chinese characteristics ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…