Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Aliyesema hatopeleka wanajesh ila atatoa msaada wa vifaa ndio mnyongeJe unazani nan myonge kwenye hii mikwara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyesema hatopeleka wanajesh ila atatoa msaada wa vifaa ndio mnyongeJe unazani nan myonge kwenye hii mikwara?
Cuban missile crisis 1962 na sio 1955Ngoja nikupe short stori. Kidg.
Baada ya mwisho wa Vita vya pili vya dunia mwaka 1945 mataifa mawili yaliibuka na kuwa nguvu kubwa kijesh na kiuchumi ambayo ni USSR ......huyu aliamini kwenye mfumo wa ujamaa (socialism). But marekani aliamini dunia lazma iwe na (ubepari) Kama ilivyo saa hizi
Wakaanza kushindana kusambaza ideology zao .......kwa kuanza kusaidia nchi kupata uhuru mfano USSR alisaidia Tz, Angola , msumbiji, South Africa.....ambazo baadae zika adopt socialism. Mfano Tz tulikuwa na UJAMAA. the same USA alisaidia nchi zingine kupata uhuru
Kushindana kwenye silaha.......hatimaye Vita ikahamia kwenye utengenezaji wa silaha.... mwaka 1945 USA walitengeneza bomu la Nyuklia......ambalo waliipga Japan .... But purposefull ili kuwa ni kuithibitishia dunia kuwa mm ni baba
Baada ya hapo USSR wali punic na kuingia maabara ambapo mwaka 1948 walifanikiwa kutengeneza bomu la HYDROGEN ambalo lilikuwa kubwa kuliko lile la Nyuklia la USA (Kama una kumbuka KIM alilitest bomu la HYDROGEN then had tetemeko lilitokea Japan
Hapa marekani walichanganyikiwa .....akaamua kutengeneza. bomu la Intercontinental balistic misiles ...(ICBM)....
The same USSR alitengeneza bomu la ICBM mwaka 1952
Pia baada ya hapo waliingia kupigana Vita baridi ( hawakuhusika moja kwa moja ). .mfano Vita vya Korea mwaka 1953 ....USSR alii support Korea kaskazin........but USA alisuport Korea kusini
Vita vya Vietnam.......USSR alipigana kaskzn USA ....alipigana kusini
The issue of Cuban misiles crissis ya mwaka 1955 na mwisho wa Vita baridi
Baada ya kufanyiana vitimbwi Kama hivyo USA.... Alim time mpinzani wake kwa kupeleka Nyuklia za hatari pale uturuki kwa Erdogan kumbuka .........uturuki ina angaliana Sana na jiji la MOSCOW. hivyo hapa USSR ikabidi awe mpole kwa muda coz akizngua anapigwa nyumbani
USSR ilipiga planning kubwa na kuamua kupeleka dhana za hatari kwa Fidel Castro....pale Cuba. Pia kumbuka ki geography. Cuba iko juu ya marekani USA akimwaga ugali na USSR anamwaga mboga[emoji23][emoji23]
Then baada ya USA kuona hivyo ....kumbuka marekani hapendi Vita nchini kwake mwaka 1965. Jf Kennedy raisi wa marekani alikubali yaishe ......akamuita mwenzake wa USSR ....... Gorbachev kutafuta suluhu
Baadhi ya masharti yaliyo wekwa :
1. Marekani kuondoa silaha zake turkey
As well as USSR kuondoa silaha pale Cuba
Marekani kuivunja NATO ambayo haikuvunjwa mpaka Sasa
pia Russia kuivunja WARSAW PACT (hii ilkuwa ni umoja wa kujihami wa nchi za ki soviet)
Majeshi ya marekani na urusi hayakutakiwa kukalibiana kwa umbali fulani hivi .......karibu na mipaka ya URUSI
So chanzo Cha mgogoro ni NATO kukaidi mikataba waliyo wekeana ......
I stand to be corrected for any mistake here .....
Lakini hii gesi inaenda kwa nchi za Ulaya Magharibi ambazo zinahihitaji, yeye kinamuuma nini?hataki bomba la gesi la Nord string-2 lifanikiwe hana zaidi na anajua ili kufanikisha hili mawili
1-RUSSIA iingie vitani na UKRAINE ili jamaaa wawe hawajatulia kuukamilisha ule mradi au hata wao watumike kuuhujumu ili usiendeleee
2-UKRAINE kujiunga na NATO anadhani hizi ndio zitakua njia sahihi zakuukwamisha huo mradi wa bomba la gesi yule sheitwani[emoji35][emoji35][emoji35]