Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BBC wanasema kulikuwa na shutuma kwamba Urusi imeiwekea Ukraine zuio la kuitumia bahari ya Azov. Mpaka sasa sijaona update kwao.Up to know .....wamezuiliwa ....fuatilia bbc taarifa za leo
Itabidi umalizane na vyanzo vyako ndani ya Ukraine kwani Russia akianza mashambulizi ataanzia na "cyber attacks" na kuzuia njia zote za mawasiliano.BBC wanasema kulikuwa na shutuma kwamba Urusi imeiwekea Ukraine zuio la kuitumia bahari ya Azov. Mpaka sasa sijaona update kwao.
Ila, vyanzo ndani ya Ukraine vinasema, hilo zuio halipo tena. Meli zinapita kama kawaida.
Marekane wa bagamoyo labdaKwa maana hiyo ni kwamba Marekani anaufyata kwa Urusi?
"Hatutapeleka wanajeshi wetu" hii tafsiri yake ni kwamba hatuna uwezo wa kuwazuia hawa jamaa wakianza jambo lao
na hatuna vifaa vya kupambana nao..hii kauli ya Biden ni ya kuitafakari haswaa kwa hao wamarekani waishio Ukraine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hapo ni mikwara.Hakutakuwa na vita yoyote, wanachimbana biti tu hao...
hataki bomba la gesi la Nord string-2 lifanikiwe hana zaidi na anajua ili kufanikisha hili mawiliYaani Marekani yuko obssessed sana na mzozo wa Ukraina na Urusi kuliko nchi majirani wanaozunguka Ukraine. Sijajua ana maslahi gani pale mahali
But Putin nadhani kashayajua yote hayahataki bomba la gesi la Nord string-2 lifanikiwe hana zaidi na anajua ili kufanikisha hili mawili
1-RUSSIA iingie vitani na UKRAINE ili jamaaa wawe hawajatulia kuukamilisha ule mradi au hata wao watumike kuuhujumu ili usiendeleee
2-UKRAINE kujiunga na NATO anadhani hizi ndio zitakua njia sahihi zakuukwamisha huo mradi wa bomba la gesi yule sheitwani[emoji35][emoji35][emoji35]
Huelewi chochote ni kwamba vita ikianza ni none stope shaba mtu sasa anawatanabahisha raia wake kwamba hawatakuwa na muda wao wata-deal na vita tu dhidi ya urusi na nikwambie jana Marekani imeongeza majeshi mengine 3000 Poland.,Kwa maana hiyo ni kwamba Marekani anaufyata kwa Urusi?
"Hatutapeleka wanajeshi wetu" hii tafsiri yake ni kwamba hatuna uwezo wa kuwazuia hawa jamaa wakianza jambo lao
na hatuna vifaa vya kupambana nao..hii kauli ya Biden ni ya kuitafakari haswaa kwa hao wamarekani waishio Ukraine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Roho inamuuma lakini hana uwezo wa kupambana, hata hao urusi nao wameambiwa na biden kama ni vidume wavamie Ukraine mbona wanasubiri subiri tu hadi sasa,Ukiangalia geographically, Putin roho inamuuma sana na yupo tayari kupigana kwa namna yoyote ile ilimradi amzuie Us kusogelea mpaka wake Ukraine kupitia Nato.
Kidume kimetoa oda kwamba marufuku Ukraine kujiunga nato, ngoja tuone.
Biden amesema atajibu thabiti mara wakivamia ukraine ni urusi tu kama anaweza avamiesio utani Russia ameshafunga bahari ya nyeusi na sea of azov Ukraine amebaki kulia yupo anapiga mazoezi ya kijeshi usa na nato wameshatambua jamaa hatanii licha ya mikwara mbuzi
Ni wanajesh wake au ni wa NATO?Huelewi chochote ni kwamba vita ikianza ni none stope shaba mtu sasa anawatanabahisha raia wake kwamba hawatakuwa na muda wao wata-deal na vita tu dhidi ya urusi na nikwambie jana Marekani imeongeza majeshi mengine 3000 Poland.,
johnson hana akili EU yeye unamuhusu nanini?Boris Jonson ....kakubali kuwa umoja wa ulaya unapitia TENSION kubwa ambayo haijawahi kushuhudiwa