Rais Biden awataka raia wa Marekani kuondoka Ukraine. Vita vikianza hatatuma vikosi kuwaokoa

Rais Biden awataka raia wa Marekani kuondoka Ukraine. Vita vikianza hatatuma vikosi kuwaokoa

Hakutakuwa na vita! Marekani wanabwaka hovyo hovyo tu na kuwatishia watu bure.
Biden ....kwenye Mambo ya kivita ....hajiamini Sana ....mguu mmoja ndan mwingine nje

Labda angekuwa ...DONALD TRUMP

BUSH
 
Ukiangalia geographically, Putin roho inamuuma sana na yupo tayari kupigana kwa namna yoyote ile ilimradi amzuie Us kusogelea mpaka wake Ukraine kupitia Nato.

Kidume kimetoa oda kwamba marufuku Ukraine kujiunga nato, ngoja tuone.
Pia kihistoria......USA anavunja baadhi ya term walizo saini ili ku end cold war

Coz moja ya term ilikuwa ni hizi inchi majesh yao kuto karibiana kwa umbali.........
 
Mchina huku kamuunga mkono Argentina huko falkland ......UK kaanza kuvimba..........hapa kikinuka kila mtu atamuweka busy mwenzie......china huku na taiwan........kiduku anavyorusha yale makombora baharini ni kama mjapan nae anapewa indiketa....
Yaaaah mkuu.........mkuu....naona balance of power inarudi kwa kasi

Mara huku. TZ vs MALAWI[emoji23][emoji23]
 
Daaaaah......kimeumana......kwenye hili suala nilimkubali tu mu Iran ....

Alitiishia kuwa yeyote atakaye kubali majesh ya marekan kuweka kambi pale middle East........atakufa Nae[emoji23][emoji23]
Marekani bado inazo kambi lukuki za kijeshi Middle East.
 
NATO inatamani sana kupata washirika wa iliyokuwa USSR ili wapate kushare utaalam wa silaha za iliyokuwa Shirikisho la Urusi...
Yaaaah mkuu....pia wanataka kumzunguka pande zote .....

But kwa upande wa silaha......wale jamaa ni. Wayaaa ya umeme[emoji23][emoji23]
 
NATO inatamani sana kupata washirika wa iliyokuwa USSR ili wapate kushare utaalam wa silaha za iliyokuwa Shirikisho la Urusi...
Shirikisho la Urusi ni hii ya sasa (Russia). Iliyokuwepo zamani ni Umoja wa Kisovieti (USSR) ndani ya Warsaw Pact. Kuna wakati fulani wao wenyewe [Warusi] waliomba kujiunga na NATO wakakataliwa.
 
Hivi chanzo cha huu mzozo wa Russia na Ukraine ni nini?
Kuna kitu kimenipita hapo.
Ngoja nikupe short stori. Kidg.

Baada ya mwisho wa Vita vya pili vya dunia mwaka 1945 mataifa mawili yaliibuka na kuwa nguvu kubwa kijesh na kiuchumi ambayo ni USSR ......huyu aliamini kwenye mfumo wa ujamaa (socialism). But marekani aliamini dunia lazma iwe na (ubepari) Kama ilivyo saa hizi

Wakaanza kushindana kusambaza ideology zao .......kwa kuanza kusaidia nchi kupata uhuru mfano USSR alisaidia Tz, Angola , msumbiji, South Africa.....ambazo baadae zika adopt socialism. Mfano Tz tulikuwa na UJAMAA. the same USA alisaidia nchi zingine kupata uhuru

Kushindana kwenye silaha.......hatimaye Vita ikahamia kwenye utengenezaji wa silaha.... mwaka 1945 USA walitengeneza bomu la Nyuklia......ambalo waliipga Japan .... But purposefull ili kuwa ni kuithibitishia dunia kuwa mm ni baba

Baada ya hapo USSR wali punic na kuingia maabara ambapo mwaka 1948 walifanikiwa kutengeneza bomu la HYDROGEN ambalo lilikuwa kubwa kuliko lile la Nyuklia la USA (Kama una kumbuka KIM alilitest bomu la HYDROGEN then had tetemeko lilitokea Japan


Hapa marekani walichanganyikiwa .....akaamua kutengeneza. bomu la Intercontinental balistic misiles ...(ICBM)....

The same USSR alitengeneza bomu la ICBM mwaka 1952


Pia baada ya hapo waliingia kupigana Vita baridi ( hawakuhusika moja kwa moja ). .mfano Vita vya Korea mwaka 1953 ....USSR alii support Korea kaskazin........but USA alisuport Korea kusini

Vita vya Vietnam.......USSR alipigana kaskzn USA ....alipigana kusini

The issue of Cuban misiles crissis ya mwaka 1955 na mwisho wa Vita baridi

Baada ya kufanyiana vitimbwi Kama hivyo USA.... Alim time mpinzani wake kwa kupeleka Nyuklia za hatari pale uturuki kwa Erdogan kumbuka .........uturuki ina angaliana Sana na jiji la MOSCOW. hivyo hapa USSR ikabidi awe mpole kwa muda coz akizngua anapigwa nyumbani

USSR ilipiga planning kubwa na kuamua kupeleka dhana za hatari kwa Fidel Castro....pale Cuba. Pia kumbuka ki geography. Cuba iko juu ya marekani USA akimwaga ugali na USSR anamwaga mboga[emoji23][emoji23]

Then baada ya USA kuona hivyo ....kumbuka marekani hapendi Vita nchini kwake mwaka 1965. Jf Kennedy raisi wa marekani alikubali yaishe ......akamuita mwenzake wa USSR ....... Gorbachev kutafuta suluhu

Baadhi ya masharti yaliyo wekwa :

1. Marekani kuondoa silaha zake turkey
As well as USSR kuondoa silaha pale Cuba

Marekani kuivunja NATO ambayo haikuvunjwa mpaka Sasa
pia Russia kuivunja WARSAW PACT (hii ilkuwa ni umoja wa kujihami wa nchi za ki soviet)


Majeshi ya marekani na urusi hayakutakiwa kukalibiana kwa umbali fulani hivi .......karibu na mipaka ya URUSI

So chanzo Cha mgogoro ni NATO kukaidi mikataba waliyo wekeana ......

I stand to be corrected for any mistake here .....
 
Shida baadhi ya wananchi wa ukraine wana asili ya urusi.......kuna vita ya chinichini hadi kwenye kanisa lao la orthodox.........kuna makanisa yamekubali kua chini ya kiongozi wa russia ....huku wengine wakitaka kanisa la Ukraine lijitenge............mrusi anaweza akaichukua hii nchi kama karata zake atacheza vizuri
Duuuh inaweza kuwa kweli mkuu.....coz kanisa la orthodox lime dominate Sana Russia
 
Shirikisho la Urusi ni hii ya sasa (Russia). Iliyokuwepo zamani ni Umoja wa Kisovieti (USSR) ndani ya Warsaw Pact. Kuna wakati fulani wao wenyewe [Warusi] waliomba kujiunga na NATO wakakataliwa.
Inawezekana kwa sababu after ....kuanguka kwa USSR ...... marekani ilipandikiza vibaraka wengi pale .... But the raise of putin into power .....kumeiwezesha Russia kusimama Tena Kama Giant wa dunia ......Kama ilivyokuwa kipind Cha JOSEPH STALLIN
 
Inawezekana kwa sababu after ....kuanguka kwa USSR ...... marekani ilipandikiza vibaraka wengi pale .... But the raise of putin into power .....kumeiwezesha Russia kusimama Tena Kama Giant wa dunia ......Kama ilivyokuwa kipind Cha JOSEPH STALLIN
Ni kabla ya USSR kuvunjika. Inaelezwa kwamba, USSR ilikuwa ikihofia uvamizi mwingine wa Ujerumani kama ule wa Adolf Hitler.
 
Kwa maana hiyo ni kwamba Marekani anaufyata kwa Urusi?

"Hatutapeleka wanajeshi wetu" hii tafsiri yake ni kwamba hatuna uwezo wa kuwazuia hawa jamaa wakianza jambo lao

na hatuna vifaa vya kupambana nao..hii kauli ya Biden ni ya kuitafakari haswaa kwa hao wamarekani waishio Ukraine.

Sent using Jamii Forums mobile app

Soma Na uelewe kabla ya kufurukuta!
 
Back
Top Bottom