Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
Kwa hiyo hata alwaz maneno yake ni typing error?!Tuanzie hapa kwanza kabla hujamwambia mwenzio kaishia darasa la 3B, "ujitambuhi" ni neno la lugha gani tena?!.
Kwa hiyo Allah amewaruhusu kuwaua wayuhudi 1400?Na wewe hifadhi maneno yako.Hii vita si ya waarabu na waislamu peke yao dhidi ya Israel na Marekani. Allah yuko pamoja nasi. Hajawahi kumpa njia na ushindi mtu anayebariki ushoga na kupora ardhi za watu.Na anayeuwa watu wasio na hatia mchana kweupe
SawaMwisho wake naona kama ni kufutika kwa Israel na Marekani yake.
Ndoto za mchana hiziMwisho wake naona kama ni kufutika kwa Israel na Marekani yake.
kama hauelewi, hii yote ni delay tactics wakati israel, na washiriak wake, wakijiandaa kuikabili iran hezbollah na hamas. vita ni akili sometimes.Raisi Biden haonekani kuwa tofauti na mtangulizi wake raisi Trump.Wote hawachagui lipi la kusema na wakati wa kuyasema maneno yao.
Japo taarifa za kukataliwa kutua katika baadhi ya nchi za kiarabu alizopanga kuzitembelea anazo na bado alipotua Israel maelezo yake hayakuwa ya kutuliza hasira bali kuziongeza zaidi.
Amemwabia Benjamin Netanyahu waziri mkuu wa Israel kuwa anakusudia kuionesha dunia kuwa Marekani inaiunga mkono Israel.Akaongeza kuwa kwa kile alichokiona basi kombora lililopiga hospitali sio nyinyi mliofanya,Waliofanya ni watu wa upande mwengine.
Biden pledges solidarity with Israelis and suggests 'other team' to blame for Gaza hospital blast
View attachment 2785381
Huyu mbadala wake ni Trump, najua unamkumbuka vizuri.
Huyu mbadala wake ni Trump, najua unamkumbuka vizuri.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Islamic jihadi ndio wameua raia wao hospitaliniEti anatoka huko kwao kwenda kuuthibitishia ulimwengu kuwa watakuwa na Israel halafu anawatetea kuwa hawajauwa.Anawafanya watu ni mazombie sana.
Naunga mkono hoja, waarabu ni wapumbavu na wanafiki sana, yaani waanzishe vita wao halafu waanze kulalamika wao..hovyoo. Acha wachezee kichapo tu sasa hamna namna.Tatizo waarabu nyie ni watu wajinga sana na ovyo kweli, unaanzisha vita then unahitaji USA atulize pale unapozidiwa et
Nyie waarabu mnatumika na Iran ambao Iran ni maadui wa Magharibi, hivyo hapo Iran ndio wanaovimbiwa na kuonyeshwa kibri na sio watu wa Gaza ok.
Iran bado hana uwezo mbele ya wakubwa wa Dunia, anawadanganya na kuwapa silaha but issue kuvimba vita iishe huo uwezo bado, amebaki huko kulalama death to Amerika itasaidia nini?
Kwahiyo ulifurahia vile Waisrael waliuawa na wanaokufa kwa sasa et ee?Eti anatoka huko kwao kwenda kuuthibitishia ulimwengu kuwa watakuwa na Israel halafu anawatetea kuwa hawajauwa.Anawafanya watu ni mazombie sana.
Watu walikuwa wanasubir mmarekan atoe ruksa. Sasa subir uone. Soon tutaanza kulokota makobaz kila mahaliRaisi Biden haonekani kuwa tofauti na mtangulizi wake raisi Trump.Wote hawachagui lipi la kusema na wakati wa kuyasema maneno yao.
Japo taarifa za kukataliwa kutua katika baadhi ya nchi za kiarabu alizopanga kuzitembelea anazo na bado alipotua Israel maelezo yake hayakuwa ya kutuliza hasira bali kuziongeza zaidi.
Amemwabia Benjamin Netanyahu waziri mkuu wa Israel kuwa anakusudia kuionesha dunia kuwa Marekani inaiunga mkono Israel.Akaongeza kuwa kwa kile alichokiona basi kombora lililopiga hospitali sio nyinyi mliofanya,Waliofanya ni watu wa upande mwengine.
Biden pledges solidarity with Israelis and suggests 'other team' to blame for Gaza hospital blast
View attachment 2785381
Trump mpenda amaniHuyu mbadala wake ni Trump, najua unamkumbuka vizuri.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Leo kapokea kipigo takatifu kutoka kwa Hezbullah na America tuone kama ataishambulia Hezbullah si ndio kamdanganya Israel atawapiga Hezbullah haya tuone mwisho wake.Mwisho wake naona kama ni kufutika kwa Israel na Marekani yake.
hamas walichagua namna ya kushambulia?Raisi Biden haonekani kuwa tofauti na mtangulizi wake raisi Trump.Wote hawachagui lipi la kusema na wakati wa kuyasema maneno yao.
Japo taarifa za kukataliwa kutua katika baadhi ya nchi za kiarabu alizopanga kuzitembelea anazo na bado alipotua Israel maelezo yake hayakuwa ya kutuliza hasira bali kuziongeza zaidi.
Amemwabia Benjamin Netanyahu waziri mkuu wa Israel kuwa anakusudia kuionesha dunia kuwa Marekani inaiunga mkono Israel.Akaongeza kuwa kwa kile alichokiona basi kombora lililopiga hospitali sio nyinyi mliofanya,Waliofanya ni watu wa upande mwengine.
Biden pledges solidarity with Israelis and suggests 'other team' to blame for Gaza hospital blast
View attachment 2785381
mnajiliwazaMwisho wake naona kama ni kufutika kwa Israel na Marekani yake.
Ndiyo maana ya transparencyRaisi Biden haonekani kuwa tofauti na mtangulizi wake raisi Trump.Wote hawachagui lipi la kusema na wakati wa kuyasema maneno yao.