Rais Biden ndiyo kalikoroga kabisa. Asema watakuwa pamoja na Israel kwa kila hali. Na Israel sio waliopiga hospitali ya Gaza

Rais Biden ndiyo kalikoroga kabisa. Asema watakuwa pamoja na Israel kwa kila hali. Na Israel sio waliopiga hospitali ya Gaza

Nahifadhi maneno yako! Usikimbie tu😂 mmeanzisha vita msiyoiwezaaaa! Nyambafů
Na wewe hifadhi maneno yako.Hii vita si ya waarabu na waislamu peke yao dhidi ya Israel na Marekani. Allah yuko pamoja nasi. Hajawahi kumpa njia na ushindi mtu anayebariki ushoga na kupora ardhi za watu.Na anayeuwa watu wasio na hatia mchana kweupe
 
Madrasa ndio chimbuko la shule zote.
Hahahaaaa shule za wajinga na wapumbavu. Visasi , wivu, fujo, ugomvi , kuchinja wengine.

Kuna elimu humo!

Popote penye uislam pana fujo.

Kwa huku Uswahilini penye uislam mwingi pana umaskini mwingi pia.
 
Raisi Biden haonekani kuwa tofauti na mtangulizi wake raisi Trump.Wote hawachagui lipi la kusema na wakati wa kuyasema maneno yao.

Japo taarifa za kukataliwa kutua katika baadhi ya nchi za kiarabu alizopanga kuzitembelea anazo na bado alipotua Israel maelezo yake hayakuwa ya kutuliza hasira bali kuziongeza zaidi.

Amemwabia Benjamin Netanyahu waziri mkuu wa Israel kuwa anakusudia kuionesha dunia kuwa Marekani inaiunga mkono Israel.Akaongeza kuwa kwa kile alichokiona basi kombora lililopiga hospitali sio nyinyi mliofanya,Waliofanya ni watu wa upande mwengine.

Biden pledges solidarity with Israelis and suggests 'other team' to blame for Gaza hospital blast

View attachment 2785381
Mda huu Kambi ya Jeshi ya US imelipuliwa huko Iraki
 
Back
Top Bottom