Rais Buhari ni mtu mdini ambaye ataizamisha Nigeria, ni suala la muda tu

Weka kiswahili sijui kiingereza

Kwamba murtad ni nani na adhabu yake ni nini kwenye uislamu


Katika Agano la Kale:


Kumbukumbu la Torati 13:6-9 “Kama ndugu yako mwenyewe, au mwana wako au binti yako, au mke umpendaye, au rafiki yako wa karibu, akikushawishi kwa siri, akisema, Twende tukaabudu miungu mingine. ninyi, wala baba zenu mnajua, miungu ya watu wa kabila za watu wanaokuzunguka, ikiwa karibu au mbali, toka upande huu wa nchi hata mwisho huu, au miungu ya dini nyingine, msikubali kumsikiliza, wala msimwonee huruma. . Usimwachie wala kumkinga, lazima umwue, mkono wako uwe wa kwanza kumwua, kisha mikono ya watu wote."

Pia Kumbukumbu la Torati 17:3-5 “naye atakwenda kuabudu miungu mingine na kuisujudia au jua au mwezi au jeshi lote la mbinguni ..... lazima apigwe kwa mawe na lazima auwawe."


Paulo:

Hebu tuangalie Warumi 1:20-32 (kutoka Agano Jipya) “

20. Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu sifa za Mungu zisizoonekana, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, zimeonekana waziwazi, zikifahamika kwa yale yaliyotangulia. kufanywa, ili wanaume wasiwe na udhuru.

21. Maana, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza kama Mungu wala hawakumshukuru; bali mawazo yao yalikuwa ubatili na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.

22. Ijapokuwa walidai kuwa wenye hekima, wakawa wapumbavu

23. wakaubadili utukufu wa Mungu asiyeweza kufa kwa sanamu zilizofanywa kufanana na binadamu ambaye hufa, na ndege, na wanyama, na viumbe vitambaavyo.

24. Kwa hiyo Mungu aliwaacha katika tamaa mbaya za mioyo yao wafuate uchafu, na kufanyiana aibu miili yao.

25. Waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kuabudu kiumbe badala ya Muumba anayesifiwa milele. Amina.

26. Kwa sababu hiyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao walibadilisha mahusiano ya asili kwa yale yasiyo ya asili.

27. Vivyo hivyo wanaume nao waliacha mahusiano ya asili na wanawake na wakawaka tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanya machafu na watu wengine, na wakapata katika nafsi zao malipo ya upotovu wao.

28. Tena, kwa kuwa hawakuona inafaa kuwa na elimu ya Mungu, aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyopasa.

29. Wamejawa na kila aina ya uovu, uovu, uchoyo na upotovu. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, hila na uovu. Wao ni masengenyo,

30. wasingiziaji, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kiburi, wenye majivuno; wanabuni njia za kutenda maovu; hawawatii wazazi wao;

31. ni wapumbavu, wasio na imani, wasio na moyo, wasio na huruma.

32. Ijapokuwa wanaijua amri ya haki ya Mungu kwamba wale wafanyao mambo kama hayo wanastahili kifo, wao si tu kwamba wanaendelea kufanya mambo hayohayo, bali pia wanakubali wale wayatendao.
 
Mnamatatizo sana

Hata sheria isio yakidini inaingilia wengine seuze dini

DINI ndio mfumo mzima wamaisha ya mwanaadamu

Hvyo lazma ifatilie...
 
Kweli
Kweli kabisa Huyu jamaa huo utaratibu kauzua yeye Wala haupo kwenye katiba ni baadhi ya vyama kuamua kukubaliana na Wala sio sheria
 
Sijakariri quran maana mimi sio muislam.

Wewe unaejua ndio unapaswa useme nimedanganya kwamba murtad hapati adhabu ya kifo

Sababu gani inafanya mtu aitwe murtad kwenye uislamu

Na Kisha Niambie adhabu ya murtad ni nini kwenye dini ya kiislamu?
Wewe si ndiye uliyesema kwa kinywa kipana,ndiyo tuoneshe kwenye Qur'an hizo Aya za murtad kuuawa na mtume kufanya biashara ya watumwa na kuwagonga
 
Wewe si ndiye uliyesema kwa kinywa kipana,ndiyo tuoneshe kwenye Qur'an hizo Aya za murtad kuuawa na mtume kufanya biashara ya watumwa na kuwagonga

Narudia tena comment yangu soma tena.

Nakuwekea copy and paste bila ku edit chochote. Usihamishe mada

" Dini ambayo huruhusiwi kuibadili. Ukihama tu unaitwa murtad na adhabu yake unakatwa kichwa ndiyo ikuruhusu kuhoji.

Kesho nenda msikitini baada ya ibada hoji waislamu wenzako kwa nini mtume muhammad alikuwa anatombaz watumwa wake ? Uone kitakachokukuta "
 
Naikumbuka,unaona ulivyoandika kwa uhakika,biblia ya waislam ni Qur'an,Tena wao hata kuhariri hawaruhusiwi ipo vilevile alivyoacha mtume,Sasa ndiyo tuoneshe hayo ulivyosema kwa uhakika umeyatoa wapi!?
 
Naikumbuka,unaona ulivyoandika kwa uhakika,biblia ya waislam ni Qur'an,Tena wao hata kuhariri hawaruhusiwi ipo vilevile alivyoacha mtume,Sasa ndiyo tuoneshe hayo ulivyosema kwa uhakika umeyatoa wapi!?

Fanya copy and paste ya unachotaka nikujibu
 
Acha ushangingi na ushambenga,utavalishwa bikini

Jibu hoja kwa hoja.. murtad ni mtu wa aina gani ?

Na adhabu yake ni nini kwa katika uislamu ?

Kama uislamu unawafundisha kujibu hoja kwa kutaja bikini na ushangingi useme pia
 
Jibu hoja kwa hoja.. murtad ni mtu wa aina gani ?

Na adhabu yake ni nini kwa katika uislamu ?
Mbona ulijibiwa kijana au hukuona

Kumbukumbu la Torati 13:6-9 “Kama ndugu yako mwenyewe, au mwana wako au binti yako, au mke umpendaye, au rafiki yako wa karibu, akikushawishi kwa siri, akisema, Twende tukaabudu miungu mingine. ninyi, wala baba zenu mnajua, miungu ya watu wa kabila za watu wanaokuzunguka, ikiwa karibu au mbali, toka upande huu wa nchi hata mwisho huu, au miungu ya dini nyingine, msikubali kumsikiliza, wala msimwonee huruma. . Usimwachie wala kumkinga, lazima umwue, mkono wako uwe wa kwanza kumwua, kisha mikono ya watu wote."

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 

Jibu sijaliona. Sijaona maana ya murtad wala adhabu yake kwenye jibu
 
Mnamatatizo sana

Hata sheria isio yakidini inaingilia wengine seuze dini

DINI ndio mfumo mzima wamaisha ya mwanaadamu

Hvyo lazma ifatilie...
dini ni imani tu, ni bayana ya mambo yasiyoonekana, huwezi kulazimisha watu kuamini na kuabudu kitu kisichoonekana ni upuuzi mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…