madeinmusoma
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 324
- 387
Mkuu wa mkoa tayari nipo hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi hizi,hivi ukianzisha mkoa mwingine,ndio unapata hospitali nzuri,shule nzuri,viwanda,hapo ni kuongeza gharama za serikali,tunachotakiwa ni kupunguza idadi ya mikoa,iwe 15,futa vyeo vya wakuu wa mikoa,futa vyeo vya wakurugenzi wa halmashauri,Dkt. John Pombe Magufuli, hongera sana kwa kutekeleza vema majukumu yako ya urais
Naomba kukukumbusha juu ya maombi ya kutengewa mkoa mpya wa Nyakanazi. Mkoa huu ilipendekezwa uundwe na wilaya za Kakonko na Kibondo (Kigoma), na Ngara na Biharamulo (Kagera). Mkoa huu uwe na jumla ya wilaya nne.
Sababu za kutenga mkoa:-
(i). Kutoka Ngara - Bukoba (300kms), Biharamulo - Bukoba (200kms), Kakonko - Kigoma (300kms), na Kibondo - Kigoma (250kms). Kwa haraka ni kuwa mzazi akihitaji kuhamisha mtoto wa shule tu gharama zinakuwa kubwa, watendaji wa Serikali wanaposafiri hutumia mafuta mengi, muda mwingi nk
Kutoka wilaya hizo kuja Nyakanazi:-
Kibondo - Nyakanazi (90kms), Kakonko - Nyakanazi (51kms), Ngara - Nyakanazi (90kms), na Biharamulo - Nyakanazi (45kms). Sifa za eneo hili kuunda mkoa zinatosha sana. Wakuu wa wilaya wanabaki hivyo hivyo, majimbo ya uchaguzi yanabaki hivyo hivyo kitakachoongezeka ni Ofisi ya Mkuu wa mkoa na mamlaka zake.
Dkt. John Pombe Magufuli (Rais), naleta kwako maombi haya mahususi nikiamini kuwa utatenda lkn niseme tulikuomba, tunakuomba na tutakuomba.
Mungu akubariki wewe na wananchi unaowaongoza,
Mungu ibariki Tanzania
Msakila M Kabende
Kigoma
13 Januari, 2021
Wewe una hoja gani zaidi ya kuonyesha upuuzi wako hapa! kwa akili yako ndogo unaona umeandika point kubwa sn? acha kujaza takataka server za watuSi wajibu wangu kujua yumo au hayumo humu - hili ni jukwaa huru la kisiasa. Jenga tabia ya kuskip hoja unapokuwa huna cha kuchangia.
Point tupu mkuu umeandika kuliko huyu mpuuzi aliyeleta takataka hapa, inatakiwa mikoa ibaki hata mitano inatosha.Bangi hizi,hivi ukianzisha mkoa mwingine,ndio unapata hospitali nzuri,shule nzuri,viwanda,hapo ni kuongeza gharama za serikali,tunachotakiwa ni kupunguza idadi ya mikoa,iwe 15,futa vyeo vya wakuu wa mikoa,futa vyeo vya wakurugenzi wa halmashauri,
Hizo pesa zitumike kutengeneza viwanda,hakuna uhusiano na kikundi Cha watu kuwa na Mkuu wa wilaya,Mkuu wa mkoa,Mbunge,na maendeleo yao,Kwanza wabunge wengi wakishachaguliwa,uhamia Dar,Kama waziri wa elimu,DED,DAS,RAC,wanajua matatizo ya sehemu flani,sasa mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa wanakazi gani zaidi ya kuvunja Sheria tu,hawana kazi maalum
Hii ni ilani yenu na Lissu - CCM tunaamini uanzishwaji maeneo ya kiutawala ni moja ya huduma (wananchi wanapata vijiji, kata, wilaya, na mikoa); wananchi wanapata huduma karibuBangi hizi,hivi ukianzisha mkoa mwingine,ndio unapata hospitali nzuri,shule nzuri,viwanda,hapo ni kuongeza gharama za serikali,tunachotakiwa ni kupunguza idadi ya mikoa,iwe 15,futa vyeo vya wakuu wa mikoa,futa vyeo vya wakurugenzi wa halmashauri,
Hizo pesa zitumike kutengeneza viwanda,hakuna uhusiano na kikundi Cha watu kuwa na Mkuu wa wilaya,Mkuu wa mkoa,Mbunge,na maendeleo yao,Kwanza wabunge wengi wakishachaguliwa,uhamia Dar,Kama waziri wa elimu,DED,DAS,RAC,wanajua matatizo ya sehemu flani,sasa mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa wanakazi gani zaidi ya kuvunja Sheria tu,hawana kazi maalum
Mara ya mwisho umesikia USA,UK,au japan inaongeza mkoa,state,ni lini?Hii ni ilani yenu na Lissu - CCM tunaamini uanzishwaji maeneo ya kiutawala ni moja ya huduma (wananchi wanapata vijiji, kata, wilaya, na mikoa); wananchi wanapata huduma karibu
Kwamba majiji yao hayakuanza yakiwa Kijiji, mji, jiji, na sasa Metropole? Yamefikaje hapoMara ya mwisho umesikia USA,UK,au japan inaongeza mkoa,state,ni lini?
Hizi nchi ni tajiri,lakini haziongezi maeneo ya kiutawala,zinaongeza viwanda,sie maskini,tupo bize na uteuzi,na kuongeza watawala tu,hatuna madarasa ya kutosha,mikopo ya Elimu ya juu,hairipiki,harafu magenius wetu wanaona kuongeza mikoa ndio suluhisho,
Sawa ikitokea nsinisahau katika teuziNilishatoa ufafanuzi kabla, nirudie tena kukujuza kuwa hakuna halmashauri nchini isiyokuwa na vyanzo vya mapato ingawa haimanishi kwamba vyanzo hivyo hulingana (mfano ktk mkoa wa Kagera halmashauri ya Bukoba hailingani na Karagwe)
Suala la pili ni kuwa mfumo wa kodi zetu hukusanya kodi na kuziweka Serikali kuu, kisha fedha hizo hutekeleza majukumu kadhaa (mishahara = salaries, miradi ya maendeleo = development projects, na matumizi mengineyo = other charges) ktk mikoa kulingana na vipaumbele.
Kwa ufupi ni kuwa hakuna mkoa unaoendeshwa kwa makusanyo yake yenyewe.
Zuzu mwenzako huyoYaani uanzishwe mkoa kwa sababu ya shule na kusafirisha watoto?
Hujui kuwa Rubondo ndiyo kitovu cha utalii kwetu kanda maalum?Mtoa mada anahoja za msingi sana, ushauri wangu wabunge na wadau eneo husika wapaze sauti.
Fikra za mkoa wa Rubondo hazina mashiko ukilinganisha na uhitaji halisia.
Hivi kwenye thread yako umekumbuka kuweka kabisa na nambari ya rununu?Ungesema nimesotaje!
Na hili linahusiana vipi na mada yangu jmn? Mada inahusu kuwa na mkoa mpya wa Nyakanazi, mambo ya vyeo yafungulie mada nyingine inayojitegemea
Umamaliza kaziNyakanazi gani Tena na wakati tulishasema mkoa uitwe Chato..[emoji849]
Huyu jamaa ni chadema bwashee!Zuzu mwenzako huyo
Chadema haiwezi kuwa na mazuzuHuyu jamaa ni chadema bwashee!
Chadema hii hii ya Halima James Mdee?Chadema haiwezi kuwa na mazuzu