Rais Dkt. John Pombe Magufuli, tunaendelea kukuomba Mkoa mpya wa Nyakanazi

Lindi wanawezaje?
 
Ina make sense Sana Sana aongeze na Chato iwe makao makuu ya nchi
 
Wilaya hazijiebdeshi ndio maana kuna serikali kuu
 
Jidanganye, mkoa tunauunda huku Chato na utaitwa mkoa wa Rubondo makao makuu yatakuwa Chato! Huko unakotaka Kuna hospital ya rufaa? Kuna uwanja wa ndege? Kuna vyuo vya Veta?
Leo msibani hili jambo linewekwa wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…