Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
meliKwa usafiri wa gari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
meliKwa usafiri wa gari?
Itabidi atumie Vyote, Gari, Meli, ndege na miguu. Nasikia ile Pace Maker huwa inabadilika badilika tabia.Kwa usafiri wa gari?
alianzia RwandaRais wa China aivyochaguliwa tu akafanya ziara Tanzania... Na sisi Rais wetu ziara za nchi za mbali anaanzia China..!
Mhhhuuu...!Ila tu tunahitaji uwazi kwenye hicho kitakachojadiliwa.
Tangu atoke Rwanda kapoa. Ukishatoka China atasinzia kabisa.alianzia Rwanda
JPM sio Kikwete kama ambavyo JK hakuwa Mkapa.Inapumbaza na kukufanya usiwakatalie lolote watakalokwambia.
Kumbuka walimpa Kikwete U professa wa Heshima, matokeo yake leo hii Kariakoo kuna wachina wanarusha Mpesa Tigopesa na Kuchoma mahindi.
Tafakari
utatumiwa kwa sms,weka namba yakoTunataka mikataba ya uwazi na ipelekwe Bungeni
CCM ni ile ile na Wembe ni ule ule. Yaani kama kujidai unatumbua Majipu halafu unamuacha Chenge wa Escrow aongoze Bunge.Kikwete ni
JPM sio Kikwete kama ambavyo JK hakuwa Mkapa.
Hakuna mjamaa wewe!hivi unajua watu wanaishiji kijamaasisi ni wajamaa lazima tushirikiane na wajamaa wenzetu.
Llabda ataenda kwa kuitumia jahazi....cost cutKwa usafiri wa gari?
This is very Pathetic.Marekani na Yuropa wakisikia hivi, lazima warejeshe hela walizosusa kuzitoa.
Hawatakubali kuona mchina anapata influence kubwa namna hii ukanda huu.
Na ukitaka kupata influence kwa masikini, we mwaga mihela, utapendwajeee
...Kama ni kweli, itakuwa vyema. Maana, hatukuonekana kule Jo'burg, na huu si muda wa kum snub mChina.Kwa mujibu wa duru muhim ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje, Mheshimiwa Rais anatarajiwa kufanya ziara rasmi nchini China baadae mwezi huu.
...Reli ya kati inahitaji hela, tena ndefu!Katika ziara hiyo Pamoja na matukio mengine Mhe Raisi atashiriki mazungumzo na kusaini makubaliano mbalimbali juu ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.
View attachment 336392
View attachment 336394
Uchina ni kada mwaminifu wa CCM hivyo Magufuli kwenda China ni sawa na kwenda Lumumba,hakuna jipya hapo.
Mkuu mikataba yote itatafsiriwa Kisukuma. Itakuwa raha gete geteNinaposikia habari ya kusaini mikataba moyo unafanya ''paaah''
Marekani na Yuropa wakisikia hivi, lazima warejeshe hela walizosusa kuzitoa.
Hawatakubali kuona mchina anapata influence kubwa namna hii ukanda huu.
Na ukitaka kupata influence kwa masikini, we mwaga mihela, utapendwajeee
Pole sana kwa kunidharau.....This is very Pathetic.
Misaada including ya MCC imezuiliwa with a very Clear reason,uchaguzi wa Zenj na Cyber crime act.
Sasa Magu kwenda China ndio Solutions za hizo items mbili zitakuwa zimepatikana na Fedha za MCC kuachiliwa.
Think Big Mkuu.
Nimekudharau sana na ule uzi wako wa Makonda na Omba Omba.
That show your thinking Capacity
This is very Pathetic.
Misaada including ya MCC imezuiliwa with a very Clear reason,uchaguzi wa Zenj na Cyber crime act.
Sasa Magu kwenda China ndio Solutions za hizo items mbili zitakuwa zimepatikana na Fedha za MCC kuachiliwa.
Think Big Mkuu.
Wewe ndo yakupasa u re Think Big ndugu na jinsi inavyoonyesha your still baby...
Kwa nini nasema haya, MCC kusitisha misaada yao kwa sababu ya uchaguzi ZNZ na sheria ya makosa ya mitandao .... Unavyoshabikia Mabwanyenye hao ... Unawafahamu? Mwl J. K Nyerere Enzi ya uhai wake alisema " tangu lini Chui akabadilika madoa yake" ? Think Big man
Nimekudharau sana na ule uzi wako wa Makonda na Omba Omba.
That show your thinking Capacity