Rais Dkt. Magufuli tuko katika Majonzi makubwa, lakini Kocha wa Yanga ametutukana Watanzania wote. Akamatwe upesi

Ukweli ni mchungu.. mimi mwanayanga ila najua uongozi wa yanga umejaza wajinga.

Yanga miaka yote ni shamba la bibi la wapigaji
 
Sasa wenyewe YANGA mnajiita UTOPOLO, yeye akiwaita Nyani MNALIA LIA! utopolo mnazingua acheni kulia lia
 
Unatakiwa ukamatwe ukatoswe baharini
 
Kama kawatukana yanga na mashabiki wake ni sawa. Tena ametumia sauti ndogo sana. Namshauri aongeze sauti.
 
Ni kweli katukana ila ukiangalia na mfumo wa mpira tanzania ulivo na mambo yalivo sioni pa kumlaumu kwa matusi yake ila kasema ukweli mtupu hvo tupunguze jazba half turekebishe tunapokosea
Over
 
kwani huyo jamaa kawatukana WATANZANIA au kawatukana utopolo fc
 
Bila sababu wala aibu ametukana nchi na taasisi zote za michezo mbwa nyani wajinga. Kwa kweli kwa uhuni alioonyesha alistahili kupigwa palepale na kuwekwa ndani mara moja .
Kwa kosa gani hebu acha kubweka bweka
 
Mashabiki wa utopolo mnadhalauliwa hadi na kibarua wenu(coach, morison) mnashindwa kumtimua morison mnatimua kocha ambae anadai stahiki za kimkataba wake na mkataba umeisha,

Angeweza kuomba msamaha kocha wenu maana ubaguzi hauwez kuisha duniani kati ya ngozi nyeupe na mtu mweusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…