Rais Dkt. Magufuli tuko katika Majonzi makubwa, lakini Kocha wa Yanga ametutukana Watanzania wote. Akamatwe upesi

Napata ukakasi na source ya audio clip ya wasafi! nmesikiliza radio zote kocha anawasifu mashabiki, isije ikawa wametulisha matango pori!
Hawaa walisubiri ligii iishe wamwondoer chrzeea mkwasaa wewe
 
Mpeni stahiki zake aondoke tusiendelee. Porojo zaidi.
 
Amewaita nyani na mbwa badala ya Utopolo Kweli kwa hilo amefanya kosa kubwa.Nani kampa ruhusa ya kubadili jina la Utopolo?
 
Clip ipo manara kaweka insta,ila kasema mashabiki wa yanga wanapiga kelele kama nyani
Yaani nchi na Raia wenzako wanatukanwa na mgeni, wewe unafurahia na ku promote kisa ushabiki wa Mpira.!
Huu ndio unyani wa watu weusi Sasa....
 
Reactions: Tui
. CCM inahusika vipi hapo kuwa mwelewa siyo unaongea 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…