Rais Dkt. Magufuli tuko katika Majonzi makubwa, lakini Kocha wa Yanga ametutukana Watanzania wote. Akamatwe upesi

Rais Dkt. Magufuli tuko katika Majonzi makubwa, lakini Kocha wa Yanga ametutukana Watanzania wote. Akamatwe upesi

Napata ukakasi na source ya audio clip ya wasafi! nmesikiliza radio zote kocha anawasifu mashabiki, isije ikawa wametulisha matango pori!
Kama Wasafi Radio wanaweza kurusha clip yenye matusi ktk kipindi chao...??!!! Basi hawana tofauti na mtoa post, wachukuliwe hatua za kinidhamu
 
We jamaa acha sound, labda kama kaongea kwa kibelgiji(kama kipo) au sauti imetengenezwa ila hata kama kala msuba hawezi kuongea hayo mambo kwa kingereza au kiswahili. Naamini ngumi zingetandikwa humo humo studio.
 
Clip ipo manara kaweka insta,ila kasema mashabiki wa yanga wanapiga kelele kama nyani
We jamaa acha sound, labda kama kaongea kwa kibelgiji(kama kipo) au sauti imetengenezwa ila hata kama kala msuba hawezi kuongea hayo mambo kwa kingereza au kiswahili. Naamini ngumi zingetandikwa humo humo studio.
 
Kawatukana nyie utopolo fans, usiseme watanzania wote jifunze kupunguza uchonganishi wa maneno
 
Hii haivumiliki na GENTAMYCINE nasema tena kuwa hii haivumiliki na namuomba Waziri wa Michezo aamuru Jeshi la Polisi nchini Tanzania chini yake IGP upesi sana wamsake ( wamtafute ) popote pale alipo Kocha wa Yanga SC Raia Ubelgiji Luc Eymael kwa ‘ Matamshi ‘ ya Kuidhalilisha Tanzania na hadi Sisi Watanzania.

Muda si mrefu Kituo cha Redio cha Wasafi FM katika Kipindi chao ‘ Maarufu ‘ cha Michezo Kiitwacho ‘ Sports Court ‘ kimetoka Kucheza ‘ Sauti ‘ ya Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ambayo kiukweli aliyoyasema huko ‘ hayavumiliki ‘ na naenda kuweka hapa baadhi ya ‘ Kashfa ‘ zake Kwetu Watanzania…


  1. Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana
  2. Viongozi wa Tanzania ni Wahuni
  3. Mashabiki wa Yanga SC hawajui Mpira ni kama Nyani au Sokwe ( a.k.a mpya ya Yanga SC sasa ni Sokwe Nyani SC badala ya Utopolo SC )
  4. Shirikisho la Mpira nchini Tanzania lina Watu Wajinga mno na Wanaipendelea mno Simba SC
  5. Watanzania wengi ni Watu ambao hawana Elimu na wapo wapo tu
  6. Uongozi wa Yanga SC ni wa Watu Wapumbavu na Waongo nitashangaa Klabu ikipata Maendeleo chini yao
  7. Viwanja vingi vya Soka vya Tanzania ni vya Kufugia Mbwa na hata huu mnaousifia nao ni Mbovu tu
Na kutokana na ‘ Maadili ‘ kuna maneno yake mengine ya ‘ Matusi ‘ makubwa makubwa Kocha huyu ‘ Katutukana ‘ Sisi Watanzania. Japo ‘ Hasira ‘ zake nyingi zilikuwa ni kwa ‘ Mashabiki ‘ wa Yanga SC na Uongozi wake lakini pia ‘ ametutukana ‘ sana Watanzania na Rais wetu JPM nae ni Mtanzania vile vile.

Kwa wale ambao mtapenda Kusikia ‘ Kashfa ‘ hizi nzito za Kocha wa Yanga SC Mbelgiji Luc Eymael kwa Watanzania na Klabu ya Yanga SC Kesho Saa 2 na Nusu hadi Saa 5 Kamili asubuhi tegea Sikio Wasafi FM hasa katika Kipindi chao cha Michezo cha ‘ Sports Arena ‘ ambapo wameahidi Kuirudia hiyo ‘ Sauti ‘ huku wakisema kuwa Kesho ni Siku ya Kocha wa Yanga SC Luc Eymael.

Kwa ‘ Udhalilishaji ‘ aliousema Kocha wa Yanga SC Luc Eymael nitashangaa kama kuanzia Usiku huu hadi Kesho kama ‘ hajakamatwa ‘ na Mamlaka husika. Na kwa msiojua hii ni mara ya Pili Kocha huyu ‘ Mpumbavu ‘ anaichokonoa Tanzania kwani alipokuja alishawahi ‘ Kuhitilafiana ‘ na Shirikisho la Soka nchini na ‘ Kutishia ‘ kuwaambia Wazungu huko Ulaya kuwa wasije Kutalii nchini Tanzania.

Kwa wale mliopo katika Makundi ya WhatsApp ya Wanahabari za Michezo nadhani hivi sasa mnaisikia hiyo ' Clip ' ya huyu Kocha. Ni balaa tupu!!!!
Aisee natamani nisikie hayo maneno huyu fala akisema upuuzi wake ungetuwekea hapa kama hiyo clip unayo.
 
Hii haivumiliki na GENTAMYCINE nasema tena kuwa hii haivumiliki na namuomba Waziri wa Michezo aamuru Jeshi la Polisi nchini Tanzania chini yake IGP upesi sana wamsake ( wamtafute ) popote pale alipo Kocha wa Yanga SC Raia Ubelgiji Luc Eymael kwa ‘ Matamshi ‘ ya Kuidhalilisha Tanzania na hadi Sisi Watanzania.

Muda si mrefu Kituo cha Redio cha Wasafi FM katika Kipindi chao ‘ Maarufu ‘ cha Michezo Kiitwacho ‘ Sports Court ‘ kimetoka Kucheza ‘ Sauti ‘ ya Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ambayo kiukweli aliyoyasema huko ‘ hayavumiliki ‘ na naenda kuweka hapa baadhi ya ‘ Kashfa ‘ zake Kwetu Watanzania…


  1. Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana
  2. Viongozi wa Tanzania ni Wahuni
  3. Mashabiki wa Yanga SC hawajui Mpira ni kama Nyani au Sokwe ( a.k.a mpya ya Yanga SC sasa ni Sokwe Nyani SC badala ya Utopolo SC )
  4. Shirikisho la Mpira nchini Tanzania lina Watu Wajinga mno na Wanaipendelea mno Simba SC
  5. Watanzania wengi ni Watu ambao hawana Elimu na wapo wapo tu
  6. Uongozi wa Yanga SC ni wa Watu Wapumbavu na Waongo nitashangaa Klabu ikipata Maendeleo chini yao
  7. Viwanja vingi vya Soka vya Tanzania ni vya Kufugia Mbwa na hata huu mnaousifia nao ni Mbovu tu
Na kutokana na ‘ Maadili ‘ kuna maneno yake mengine ya ‘ Matusi ‘ makubwa makubwa Kocha huyu ‘ Katutukana ‘ Sisi Watanzania. Japo ‘ Hasira ‘ zake nyingi zilikuwa ni kwa ‘ Mashabiki ‘ wa Yanga SC na Uongozi wake lakini pia ‘ ametutukana ‘ sana Watanzania na Rais wetu JPM nae ni Mtanzania vile vile.

Kwa wale ambao mtapenda Kusikia ‘ Kashfa ‘ hizi nzito za Kocha wa Yanga SC Mbelgiji Luc Eymael kwa Watanzania na Klabu ya Yanga SC Kesho Saa 2 na Nusu hadi Saa 5 Kamili asubuhi tegea Sikio Wasafi FM hasa katika Kipindi chao cha Michezo cha ‘ Sports Arena ‘ ambapo wameahidi Kuirudia hiyo ‘ Sauti ‘ huku wakisema kuwa Kesho ni Siku ya Kocha wa Yanga SC Luc Eymael.

Kwa ‘ Udhalilishaji ‘ aliousema Kocha wa Yanga SC Luc Eymael nitashangaa kama kuanzia Usiku huu hadi Kesho kama ‘ hajakamatwa ‘ na Mamlaka husika. Na kwa msiojua hii ni mara ya Pili Kocha huyu ‘ Mpumbavu ‘ anaichokonoa Tanzania kwani alipokuja alishawahi ‘ Kuhitilafiana ‘ na Shirikisho la Soka nchini na ‘ Kutishia ‘ kuwaambia Wazungu huko Ulaya kuwa wasije Kutalii nchini Tanzania.

Kwa wale mliopo katika Makundi ya WhatsApp ya Wanahabari za Michezo nadhani hivi sasa mnaisikia hiyo ' Clip ' ya huyu Kocha. Ni balaa tupu!!!!
Namba 3 na 6 kocha ametisha.
Nyani, Sokwe FC[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tungekuwa na elimu,tungekuwa na akili unadhani ccm ingetutawala for 60 good days? Hata hivyo viwanja vya kufugia mbwa ccm walijimilikisha na still wameshindwa kuvitunza? Kwa ujumla if can summary yote aliyosema ni kuwa.Watu wenye akili hawawezi kutawaliwa na CCM,watu wenye akili hawawezi wakaambiwa na wanasiasa tena akiwa amejifungia kijijini kwake kuwa Covid_19 imeisha wanakubali kirahisi na kujiachia Kama wanavyofanya watanzania
Ndio ukweli....Ila Utopolo aka nyani,Sokwe wametutukanisha ,watuombe radhi!
 
Naona Yanga nao wamepata jina jipya mjini hapa Nyani na sokwe
 
Kama kasema yote hayo basi maadili hana, na hajasitarabika hata Kama aliona mapungufu ni bora angetafuta njia nyingine ya kufikisha ujumbe na sio matusi, mtu anayejitambua hawezi kusimama mbele ya chombo cha habari na kuongea namna hii, Sasa Kama anadai watanzania ni wapuuzi imekuaje akakubali kufanya kazi kwa waapuzi?? Inasikitisha sana
 
"Mashabiki wa Yanga mambumbu,hawana akili hawajasoma wanapiga kelele Kama nyani Wana mzomea yikpe wanabweka Kama mbwa"
 
Hii haivumiliki na GENTAMYCINE nasema tena kuwa hii haivumiliki na namuomba Waziri wa Michezo aamuru Jeshi la Polisi nchini Tanzania chini yake IGP upesi sana wamsake ( wamtafute ) popote pale alipo Kocha wa Yanga SC Raia Ubelgiji Luc Eymael kwa ‘ Matamshi ‘ ya Kuidhalilisha Tanzania na hadi Sisi Watanzania.

Muda si mrefu Kituo cha Redio cha Wasafi FM katika Kipindi chao ‘ Maarufu ‘ cha Michezo Kiitwacho ‘ Sports Court ‘ kimetoka Kucheza ‘ Sauti ‘ ya Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga SC ambayo kiukweli aliyoyasema huko ‘ hayavumiliki ‘ na naenda kuweka hapa baadhi ya ‘ Kashfa ‘ zake Kwetu Watanzania…


  1. Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana
  2. Viongozi wa Tanzania ni Wahuni
  3. Mashabiki wa Yanga SC hawajui Mpira ni kama Nyani au Sokwe ( a.k.a mpya ya Yanga SC sasa ni Sokwe Nyani SC badala ya Utopolo SC )
  4. Shirikisho la Mpira nchini Tanzania lina Watu Wajinga mno na Wanaipendelea mno Simba SC
  5. Watanzania wengi ni Watu ambao hawana Elimu na wapo wapo tu
  6. Uongozi wa Yanga SC ni wa Watu Wapumbavu na Waongo nitashangaa Klabu ikipata Maendeleo chini yao
  7. Viwanja vingi vya Soka vya Tanzania ni vya Kufugia Mbwa na hata huu mnaousifia nao ni Mbovu tu
Na kutokana na ‘ Maadili ‘ kuna maneno yake mengine ya ‘ Matusi ‘ makubwa makubwa Kocha huyu ‘ Katutukana ‘ Sisi Watanzania. Japo ‘ Hasira ‘ zake nyingi zilikuwa ni kwa ‘ Mashabiki ‘ wa Yanga SC na Uongozi wake lakini pia ‘ ametutukana ‘ sana Watanzania na Rais wetu JPM nae ni Mtanzania vile vile.

Kwa wale ambao mtapenda Kusikia ‘ Kashfa ‘ hizi nzito za Kocha wa Yanga SC Mbelgiji Luc Eymael kwa Watanzania na Klabu ya Yanga SC Kesho Saa 2 na Nusu hadi Saa 5 Kamili asubuhi tegea Sikio Wasafi FM hasa katika Kipindi chao cha Michezo cha ‘ Sports Arena ‘ ambapo wameahidi Kuirudia hiyo ‘ Sauti ‘ huku wakisema kuwa Kesho ni Siku ya Kocha wa Yanga SC Luc Eymael.

Kwa ‘ Udhalilishaji ‘ aliousema Kocha wa Yanga SC Luc Eymael nitashangaa kama kuanzia Usiku huu hadi Kesho kama ‘ hajakamatwa ‘ na Mamlaka husika. Na kwa msiojua hii ni mara ya Pili Kocha huyu ‘ Mpumbavu ‘ anaichokonoa Tanzania kwani alipokuja alishawahi ‘ Kuhitilafiana ‘ na Shirikisho la Soka nchini na ‘ Kutishia ‘ kuwaambia Wazungu huko Ulaya kuwa wasije Kutalii nchini Tanzania.

Kwa wale mliopo katika Makundi ya WhatsApp ya Wanahabari za Michezo nadhani hivi sasa mnaisikia hiyo ' Clip ' ya huyu Kocha. Ni balaa tupu!!!!
Acha uongo amewadhalilisha Yanga tu sio watanzania wote Wala TFF na Simba
 
Kama kasema yote hayo basi maadili hana, na hajasitarabika hata Kama aliona mapungufu ni bora angetafuta njia nyingine ya kufikisha ujumbe na sio matusi, mtu anayejitambua hawezi kusimama mbele ya chombo cha habari na kuongea namna hii, Sasa Kama anadai watanzania ni wapuuzi imekuaje akakubali kufanya kazi kwa waapuzi?? Inasikitisha sana
Alikuwa hajatujua mkuu
 
Sasa kama ID yako tu inasema ' Sijijui ' unadhani Sisi wenye Akili zetu timamu kabisa na zinazofanya Kazi tutaweza Kukujua Mpuuzi kama Wewe?
Mkuu sijijui ni jina tu Kama yalivyo majina mengine,watu wenye akili ndogo tu ndo huwa wanahangaika na kutafasiri majina ya watu,tukiacha hayo ya majina. Huyo kocha kasema ukweli ambao vilaza wengi huwa hawapendi kuusikia ndo maana badala ya kujitadhimini wao wanao kumkamata ndo soln.Mlitakiwa mjitadhimini Kwanza ili kujua why mnatukanwa,why mnaitwa hamna akili Wala elimu,Ila Kama unadhani soln ni kumkamata,huku mkitaka watu wa kuwapaka mafuta kwa kilemba cha ukoka mtatukanwa sana vilaza nyie
 
Hivi huwezi ukatulia na ukaandika vizuri ili wenye Akili tukakuelewa? Sasa hapa ndiyo umeandika nini? Huwa unahariri Kwanza kabla hujatuma?
Povu litakutoka sana mkuu,Ila ukweli ndo umeshasemwa
 
Kwahiyo hiyo #1 kwamba Sisi ni ' Wapuuzi ' umekubaliana nayo Mkuu? Kwahiyo na Wewe nae ni Mpuuzi na ndiyo maana umejibu pia Kipuuzi hivi?
Kwa mambo yanayotokea nchini mwetu ni wapuuzi wewe ulishuhudia mwamuzi alivyoharibu mechi ya yanga na kagera lakini mpaka ligi inaisha maamuzi hayajatolewa na sisi ndio tunaowaweka hao watu
 
Back
Top Bottom