Rais Dkt. Samia atangaza ofa ya kuiona Taifa Stars bure dhidi ya Guinea

Mbona Watanzania tupo kama Ngiri tuna National Disaster inaendelea hapo Kariakoo hadi sasa watu bado wapo chini ya kifusi bado Serikali inatoa funds kulipia watu kuingia viwanjani wakati zinahitajika kwenye uwokozi? Ina maana hatujali wenzetu? Kwa ubinafsi huu tukivamiwa tutaweza kujilinda? Hapana kwa kweli.
 
Hakuna kwenda Morocco!
 
Taifa Stars inaenda kutolewa mbele ya watu wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…