IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
BULE FC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri ameshasema atakaeshangilia mamelodi ni kifungoNajua masandawana tutawapakata ila sitaki kiwe na.mashabiki wa Simba angalau mia au mia mbili watakao washangilia hao Mamelody
Utopolo hovyo sana, mmekuwa kama ndumbaro tuu, yaani mlazimishe washabiki wa mnyama wavae kitopolo topolo?Taarifa inasema kiingilio kwenye mechi yetu na Mamelody itakuwa bure Mzunguko.
Sababu za uongozi zina mashiko pasi na shaka yoyote. Kwanza mechi itachezwa usiku sana halafu pili ni mwezi mtukufu wa Ramadhwani etc.
But hatuoni kuwa Simba wanaweza kuingia pia uwanjani kwa wingi yakaja kuwa kama yale ya Yanga vs T.P mazembe miaka kadhaa iliyo pita ambapo mechi iliwekwa bure mzunguko Simba wakajaa na kuwashangilia sana Mazembe kama wapo nyumbani vile.
Tunajua Yanga hawawezi kutikiswa na kushangiliwa kwa wapinzani wao lakini mcheza kwao hutuzwa bana lazima tuzingatie hilo.
Tunaomba uwekwe utaratibu kwamba siku hiyo iwe hakuna kuingia uwanjani kama hauna jezi ya Yanga...
No jezi ya Yanga no entrance.
Tukikandwa ijumaa,si ndo jmos tunakuja kumsapoti mwanetu mamelodi ili mfe nyingi bila,HUONI HILO?Hizo nguvu za kurudi tena kwa Mkapa jumamosi watazitoa wapi,maana ijumaa wanakandwa then wanaenda kujifungia ndani wakisubiri Wanaume wao Yanga wawatoe kimasomaso.