Rais Erdogan wa Uturuki aiambia Israel sitisha vita. El Sisi wa Misri aiambia ifungue mpaka

Rais Erdogan wa Uturuki aiambia Israel sitisha vita. El Sisi wa Misri aiambia ifungue mpaka

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hali ndani ya Gaza imeelezwa kuwa ni balaa na machafuko huku majeshi ya Israel yakiwa yameingia kikamilifu eneo hilo na askari wa IDF wakipigana na watu mpaka kwenye kambi za wakimbizi.

Katika hali ya machafuko kiasi hicho raisi wa Uturuki ameiambia Israel isitishe vita mara moja. Raisi wa Misri kwa upande wake ameliambia taifa hilo lifungue mpaka wa Rafah misaada ipitie bila vizuizi.

Machafuko hayo yanatokea huku huduma zote muhimu jimboni humo zikiwa zimekatwa kwa zaidi ya wiki sasa.

Upande wa kaskazini mpakani na Lebanon urushaji wa makombora kutoka wanamgambo wa HizbuLah nao unaongezeka kila muda unavyosonga.
 
Hali ndani ya Gaza imeelezwa kuwa ni balaa na machafuko huku majeshi ya Israel yakiwa yameingia kikamilifu eneo hilo na askari wa IDF wakipigana na watu mpaka kwenye kambi za wakimbizi.
Katika hali ya machafuko kiasi hicho raisi wa Uturuki ameiambia Israel isitishe vita mara moja.Raisi wa Misri kwa upande wake ameliambia taifa hilo lifungue mpaka wa Rafah misaada ipitie bila vizuizi.
Machafuko hayo yanatokea huku huduma zote muhimu jimboni humo zikiwa zimekatwa kwa zaidi ya wiki sasa.
Wanaishia kubweka tu. Waingie kama ni wanaume.
 
Hali ndani ya Gaza imeelezwa kuwa ni balaa na machafuko huku majeshi ya Israel yakiwa yameingia kikamilifu eneo hilo na askari wa IDF wakipigana na watu mpaka kwenye kambi za wakimbizi.

Katika hali ya machafuko kiasi hicho raisi wa Uturuki ameiambia Israel isitishe vita mara moja. Raisi wa Misri kwa upande wake ameliambia taifa hilo lifungue mpaka wa Rafah misaada ipitie bila vizuizi.

Machafuko hayo yanatokea huku huduma zote muhimu jimboni humo zikiwa zimekatwa kwa zaidi ya wiki sasa.

Upande wa kaskazini mpakani na Lebanon urushaji wa makombora kutoka wanamgambo wa HizbuLah nao unaongezeka kila muda unavyosonga.
Mkuu si ulisema israel hawatoweza kuingia Gaza au????
Vipi hapo walipoingia ni wapi
 
Wanaropoka ropoka hovyo tu na hakuna linalofanyika mpaka US aongee, hao UN wenyewe na kelele zao zote wame bounce. Nacheki Al jazeera hapa jana usiku israel huko Gaza katia kufuru ya kufa mtu unaambiwa haijawahi tokea tangu vita ianze.
 
Hali ndani ya Gaza imeelezwa kuwa ni balaa na machafuko huku majeshi ya Israel yakiwa yameingia kikamilifu eneo hilo na askari wa IDF wakipigana na watu mpaka kwenye kambi za wakimbizi.

Katika hali ya machafuko kiasi hicho raisi wa Uturuki ameiambia Israel isitishe vita mara moja. Raisi wa Misri kwa upande wake ameliambia taifa hilo lifungue mpaka wa Rafah misaada ipitie bila vizuizi.

Machafuko hayo yanatokea huku huduma zote muhimu jimboni humo zikiwa zimekatwa kwa zaidi ya wiki sasa.

Upande wa kaskazini mpakani na Lebanon urushaji wa makombora kutoka wanamgambo wa HizbuLah nao unaongezeka kila muda unavyosonga.
Edorgan yeye ameacha kuua waislamu wakurdi????.
Na rais wa Misri ameacha kuua muslim brother hoods.
 
Hiyo Gaza inayolingana na Wilaya ya Kinondoni leo wiki ya Tatu bado hawajaimaliza tu?

Naona kama hii vita ni kali mitandao ya social media kuliko Uhalisia.
peleka mdomo kule
 
BREAKING: Israel's Foreign Minister Eli Cohen says diplomats in Turkey have been ordered to return so Israel can reassess Israel-Turkey relations
 
Back
Top Bottom