Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Hali ndani ya Gaza imeelezwa kuwa ni balaa na machafuko huku majeshi ya Israel yakiwa yameingia kikamilifu eneo hilo na askari wa IDF wakipigana na watu mpaka kwenye kambi za wakimbizi.
Katika hali ya machafuko kiasi hicho raisi wa Uturuki ameiambia Israel isitishe vita mara moja. Raisi wa Misri kwa upande wake ameliambia taifa hilo lifungue mpaka wa Rafah misaada ipitie bila vizuizi.
Machafuko hayo yanatokea huku huduma zote muhimu jimboni humo zikiwa zimekatwa kwa zaidi ya wiki sasa.
Upande wa kaskazini mpakani na Lebanon urushaji wa makombora kutoka wanamgambo wa HizbuLah nao unaongezeka kila muda unavyosonga.
Katika hali ya machafuko kiasi hicho raisi wa Uturuki ameiambia Israel isitishe vita mara moja. Raisi wa Misri kwa upande wake ameliambia taifa hilo lifungue mpaka wa Rafah misaada ipitie bila vizuizi.
Machafuko hayo yanatokea huku huduma zote muhimu jimboni humo zikiwa zimekatwa kwa zaidi ya wiki sasa.
Upande wa kaskazini mpakani na Lebanon urushaji wa makombora kutoka wanamgambo wa HizbuLah nao unaongezeka kila muda unavyosonga.