Rais Faye wa Senegal aanza visingizio baada ya kushindwa kutimiza ahadi alizotoa baada ya kuapa kuwa Rais. Awashutumu wapinzani kumkwamisha Bungeni

Wenye miaka 60 Wana uzoefu mzuri kabisa wa koungozi,ni upunguani kusema hakuna walichofanya.

Huyo unaedai ni worst case sijui anauza kila kitu nadhani wewe ndio mpumbavu au huelewi maana ya sera za ubinafsishaji.

Haya mawazo Yako ni sehemu ya uthibitisho wa kukosa akili Wala maono na kwamba mtaishia kuwa kama hao failures wengine.

Samia ndio amefanya na anafanya yafuatayo
1.Amefanya Mageuzi ya Elimu kuanzia mtaalama Hadi ugharamiaji Elimu

2.Ndio Rais wa kwanza kuweka pesa kwenye sekta ya Kilimo kw upana wake ambayo Ina Wananchi wengi

3.Ndio Rais wa kwanza kuleta Mageuzi makubwa ya miundombinu Vijijini

4.Nsio Rais wa kwanza kumtua ndio mama kichwani Kwa vitendo

5.Ndio Rais wa kwanza kufanya Mageuzi makubwa ya Afya Nchini ikiwemo bima ya Afya Kwa wote.

6.Ndio Rais wa kwanza kuanzisha sera ya Nishati safi Kwa Wananchi inayolenga kuacha matumizi ya Nishati chafu.

7.Ndio Rais wa kwanza kuwekeza kwenye miundombinu ya sekta ya Michezo na hamasa Juu.

8.Ndio Rais wa kwanza kulipa msukumo sekta ya biashara, uwekezaji nk

Kiufupi Kuna mambo mengi ya msingi aliyofanya Kwa mda mfupi kuliko wale wengine waliokuwa na maneno mengi sana ila hakuna Cha maana
 
Exaggeration politics.Kapo kengine kule Burkinafaso
 
Hayo malalamiko wanatoa kina nani?

Wa senegal wenyewe bado wana imani naye kubwa sana.

Bunge linamkwamisha bado wana hasira. Ila mwezi Dec si mbali atavunja bunge. Maana kwa sasa hawezi kuvunja mpaka bunge litimize miaka miwili tangu wachaguliwe.
Kwa Sasa hicho ndio Kisingizio ila nakuhakikishia hakuna kipya atafanya Kwa sababu Nchi sio Mali ya Rais
 
Umeanza,aidha ujinga au kuwehuka.Unajisahaulisha Magufuli alisemaje?Kwamba wakinzani wanachelewesha maendeleo.Nini tofauti na akina Sonko?Hata TANU/CCM walikuwa ni wakinzani wa wakoloni.Hawakuzukia hewani tu.Usijitoe ufahamu.
 
Mbona amekuwa wa kwanza kufanya kila kitu! wengine walikuwa wanafanya nini?! Au ndio kusema walikuwa kama mapazia tu! Inasikitisha sana.
 
Mbona amekuwa wa kwanza kufanya kila kitu! wengine walikuwa wanafanya nini?! Au ndio kusema walikuwa kama mapazia tu! Inasikitisha sana.
Kila kitu kama kipi hicho ambacho wengine hawakufanya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…