Rais hajui kuzungumza na wananchi, ziara za njiani zisitishwe

Rais hajui kuzungumza na wananchi, ziara za njiani zisitishwe

Una roho mbaya sana na hii inaonesha uafrika ni ushetani. We unafurahia mtu kutumbuliwa. Yaani jpm alivyokuwa sheitwani basi riho ile aliwaambukiza na wewe na smai unataka aige ushetani huo, never!!
wewe itakua unamapepo
 
Mheshimia Rais wetu anafanya kazi nzuri sana tuzidi kumuombea Mungu amfanikishe yale aliyodhamiria kuyafanya ktk nchi hii nyie mnao laumu kila jambo fanyeni kazi mama ndiye Raisi wetu Mungu wa mbinguni amemuweka ikulu kwa makusudi ataongoza atakuja mwingine jukumu letu ni kumuomba Mungu amjalie hekima na busara na afya njema ili atimize maono yake.mkilaumu laumu hamjengi nali mnajidhalilisja wenyewe
 
Anapromote utalii kupitia royal tour na kuwakinga wananchi na vifo vya corona kupitia uhamasishaji wa chanjo na kuvaa barakoa. Nikumbushe majina ya Mawaziri wa utalli JMT na SMZ tafadhali.
Amekosa kazi za kufanya Ikulu? Maana kutwa kiguu na njia. Watu wa kufanya hiyo Royal Tour wako wengi tu na ingekuwa na tija.
 
Atajuaje kama hatutampa nafasi ya kujifunza?
Kuna mada humu zinamtaka aende akaongee na wananchi, amefanya hivyo, nyie chadema mnamlaumu tena!
 
Zakayo mtoza mtonyo aka chifu yangaha ,sasa tunasubiri movie tu tuanze kuangalia New chox ,Empire ,Avalon ,Drive In.
 
Jamani Mama yuko kwenye Utalii siyo kwenye ziara ya kusikiliza kero za wananchi!
 
Mheshimia Rais wetu anafanya kazi nzuri sana tuzidi kumuombea Mungu amfanikishe yale aliyodhamiria kuyafanya ktk nchi hii nyie mnao laumu kila jambo fanyeni kazi mama ndiye Raisi wetu Mungu wa mbinguni amemuweka ikulu kwa makusudi ataongoza atakuja mwingine jukumu letu ni kumuomba Mungu amjalie hekima na busara na afya njema ili atimize maono yake.mkilaumu laumu hamjengi nali mnajidhalilisja wenyewe
Mbona hajawahi kumtaja Mungu hata mara moja??
 
Mimi ni CCM tena nginja nginja lkn Hayati akisimama sehemu mawili anatatua tatizo au kuna mzembe mmoja anachia ngazi..
Mungu ilaze roho ya Former President Magufuli..
 
Tatizo mlizoeshwa tabia chafu na ya kishenzi kufokeana hadharani kama watoto wadogo na mliipenda tabia hiyo kwa sababu ujinga tu.
Viongozi wakali Tz
1.Nyerere
2.Mkapa
3.Magu

Viongozi wapole Tz
1.Mwinyi
2.Jk
3.SSH

Ukali sio sifa njema kwa kiongozi mkuu wa nchi
Upole sio sifa njema kwa kiongozi mkuu wa nchi
Faida ya ukali ni kubwa kuliko faida ya upole
 
Hayo matatizo unayoeleza yanapaswa kutatuliwa na madiwani, wabunge, wakuu wa wilaya na mawaziri. Jaribu kujifunza kazi za Rais ni zipi.
 
Hayo matatizo unayoeleza yanapaswa kutatuliwa na madiwani, wabunge, wakuu wa wilaya na mawaziri. Jaribu kujifunza kazi za Rais ni zipi.
kusikiliza kero za wananchi pia ni jukumu la Rais
 
Huyu mama SIYO presidential material this country need, Magufuli will always live in our hearts, This country needs divine intervention to rescue it from Corruption and corrupt and power hunger Leaders, This time tumepigwa sana wa Tanzania,Rushwa imerudi kwa speed ya 5G
 
Back
Top Bottom