Rais hajui kuzungumza na wananchi, ziara za njiani zisitishwe

Rais hajui kuzungumza na wananchi, ziara za njiani zisitishwe

Nami nakuunga mkono. Yaani jana tumesimama kumsubiri pale Igoma akielekea Kisesa tumeishia kukataa tamaa na tulichosikia na kuona kutoka kwake.
 
Yupo kwenye maigizo.JPM aliimudu hadhira maana alijua anafanya nini na kwa nini.Sasa mama ana wakati mgumu maana ana shinikizo la nyakati ambalo hakujiandaa wala kuandaliwa kukabiliana nalo.
 
Wanaume mnasimama kabisa kumlilia shida mama awatatulie?? Huo ni udadapoa kwanza hii tabia ya kumsimamisha hainaga maana nikukosa kazi fateni taratibu kudai mnachodai
 
Mlishazoeshwa tabia za kishamba za kufokea watu hadharani na kuwafukuza kazi bila utaratibu. Washamba bado mpo wengi mnaodhani kufokafoka ndio uongozi
 
Atasame anayo staili yake ya uongozi hawezi kumuiga JPM Hayati. Ukiwauliza wananchi shida zao nyingine zitakuhitaji uchukue maanuzi ya papo kwa papo kama kumtumbua muhusika. Je anauo uthubutu wa kufanya hivyo? Alishasema uongozi wake si wa kutumia miguvu! Tumsaidie kwa kuendelea kumuweka kwenye maombi Mh Rais.
Ni kweli kuna style inaoyoashiria kiongozi makini na anayefaa na style nyingine hasiyefaa!!
 
Mama alisema kwa sasa anajenga uchumi...
 
MAGUFULI ALIKUA ANATATUA KERO HAPO HAPO...
R.I.P RAIS WANGU, missing you sooo much....
Vizuri havidumu...
 
Mzenjbar huyo hana muda na nyie. Yeye zake filamu na ukwaju
 
Huyu mama SIYO presidential material this country need, Magufuli will always live in our hearts, This country needs divine intervention to rescue it from Corruption and corrupt and power hunger Leaders, This time tumepigwa sana wa Tanzania,Rushwa imerudi kwa speed ya 5G
Kamfufue au mfate Chettle
 
Naona mnademka tuu afu chengine nmeambiwa hapa mnashida ya maji hilo melichukua kwaiyo ndugu zangu mnipishe niendelee na safari nnamuwahi director wa kimataifa

nyingine alijibu hapa napita tuu ntakuja rasmi November sawa jamani af chengine cccccccccm oyeeeeee.....
 
Una roho mbaya sana na hii inaonesha uafrika ni ushetani. We unafurahia mtu kutumbuliwa. Yaani jpm alivyokuwa sheitwani basi riho ile aliwaambukiza na wewe na smai unataka aige ushetani huo, never!!
Yaah..kwanini usitumbuliwe kama ni mwizi na huwajibiki katika nafasi yako.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wanaume mnasimama kabisa kumlilia shida mama awatatulie?? Huo ni udadapoa kwanza hii tabia ya kumsimamisha hainaga maana nikukosa kazi fateni taratibu kudai mnachodai
sawa dada
 
Mlishazoeshwa tabia za kishamba za kufokea watu hadharani na kuwafukuza kazi bila utaratibu. Washamba bado mpo wengi mnaodhani kufokafoka ndio uongozi
mshamba bibiako
 
Kumbe hata punda inawezekana ameshazowea kupigwa mpaka ana miss mijeledi.
 
sawa dada
Ikikupendeza asubuhi hii nikaribishe nikalale na dadako au mkeo au ma.....ko! Ikikupendeza lakini alafu baada ya miezi mitatu utatupa mrejesho hapa ili nikutoe ngebe zako
 
Naongea ukweli kutoka moyoni CCM mtanisamehe, Rais wetu hajui kuzungumza na raia barabarani, ni vyema ziara ya njiani zikanseliwe.

Rais hatatui changamoto unasimama njiani unaanza kuwaambia kurekodi filamu na tozo hiyo haisadii, wala sisi hatukusimamishi ili utwambie mambo ya filamu, sisi tunakusimamisha kukueleza kero na shida zetu tulizonazo eneo husika.

Ukisimama njiani tafadhali uliza wananchi wa pale wana shida gani, muite mkuu wa mkoa aeleze ataitatua lini au kwanini kashindwa kuitatua hilo ndio lengo la wananchi kusimama njiani,

Wananchi wanachangamoto sugu ambazo wakuu wa mikoa hawajawai kufanyia ziara, masoko yana shida, ushuru usio na tija, Rais simama omba hata Raia mmoja aelezee matatizo ya pale, muite mkuu wa mkoa umuhoji, Mweshmiwa Rais labda kwa taarifa tu ni kwamba hao wakuu wa mikoa hawafanyagi ziara wananchi hawajui wapate wapi msaada.

Nimeona leo hata pale Kwenye maonyesho wamekuomba ujenzi wa lami ya kilomita moja toka uwanjani hadi makumbusho ya bujora lakini hukuwajibu kitu.

siku nyingine tutakua hatuji maana kero zetu wakuu wa wilaya zimewashinda, mkuu wa mkoa kashindwa hata wewe Rais tunayekutegemea husemi chochote si bora vyavziara uviache tu tujikalie majumbani kwetu,

Naomba ziara za njiani zife ni kupotezea muda wananchi tu

Kama haiwezekani kusikiliza kero za wananchi eneo husika usiwe unasimama barabarani, kuumishana njaa tu
Wewe mweyewe hujui kuandika.
 
Usilazimishe unalotaka wewe ndiyo liwe; acha mazoea kwa kila mtu ana namna yake ya kufanya jambo hilo hilo.
 
Huyu mama SIYO presidential material this country need, Magufuli will always live in our hearts, This country needs divine intervention to rescue it from Corruption and corrupt and power hunger Leaders, This time tumepigwa sana wa Tanzania,Rushwa imerudi kwa speed ya 5G
And then nchi ikahitaji divine intervantion ili kuondokana na udhalimu na udikteta na SSH akapata nafasi.
 
usilazimishe unalotaka wewe ndiyo liwe; acha mazoea kwa kila mtu ana namna yake ya kufanya jambo hilo hilo.
usilazimishe unalotaka wewe ndiyo liwe; acha mazoea kwa kila mtu ana namna yake ya kufanya jambo hilo hilo.
Samia ni dhaifu,acha kujificha kwenye mazoea,tangia amepata urais ameisha tatua shida hipi?Labda kufungulia alishababu na Mafisadi, sasahivi rushwa imerudi kwa mwendo wa 5g
 
Back
Top Bottom