Rais, hata kama unampenda lakini Masauni si Mtu sahihi Kwa nafasi ya Waziri wa Mambo ya ndani.

Rais, hata kama unampenda lakini Masauni si Mtu sahihi Kwa nafasi ya Waziri wa Mambo ya ndani.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Naandika kifupi Sana kushauri juu ya utendaji wa Waziri huyu ambaye tangu akiwa naibu Waziri alionyesha kiwango cha chini Sana cha uwajibikaji. Ukipita Kila mtandao utakutana na Malalamiko ya utendaji wa vyombo vilivyo chini ya wizara ya Masauni. Umebadilisha watendaji Wakuu wa idara zilizo chini yake Polisi, Magereza, NIDA nk lakini bado uozo ni uleule.
Mh. Rais, ifike mahali usikilize kilio cha Wananchi juu ya Mtu huyu hata kama unamlea lakini ameshachana mbeleko.
 
Jiuzulu Rais apate Mtu anayefaa.
 

Attachments

  • 20240821_162659.jpg
    20240821_162659.jpg
    160.1 KB · Views: 3
Huyo muhuni tu,analazimisha kampuni zinazofanya kazi na majeshi yaliyo chini ya Wizara yake wampe shares!
Mwanzo alikuwa anakula 10% ya Kawaida,amewaka tamaa Hadi analazimisha apewe na Hisa kwenye kampuni za watu ambazo hajachangia hata Wazo la kuanzisha kampuni hizo!
Mkikataa anawatafutia makosa anakuwekeni Jela!
Unyama Gani huu!
Usalama wa Taifa Wanakula mishahara na benefits za Bure Nchi hii.
 
Naandika kifupi Sana kushauri juu ya utendaji wa Waziri huyu ambaye tangu akiwa naibu Waziri alionyesha kiwango cha chini Sana cha uwajibikaji. Ukipita Kila mtandao utakutana na Malalamiko ya utendaji wa vyombo vilivyo chini ya wizara ya Masauni. Umebadilisha watendaji Wakuu wa idara zilizo chini yake Polisi, Magereza, NIDA nk lakini bado uozo ni uleule.
Mh. Rais, ifike mahali usikilize kilio cha Wananchi juu ya Mtu huyu hata kama unamlea lakini ameshachana mbeleko.
Masauni kwa kweli basi tu.
 
Back
Top Bottom