Rais hawezi kumchukulia hatua RC Chalamila kwa sababu anamuogopa?

Rais hawezi kumchukulia hatua RC Chalamila kwa sababu anamuogopa?

Hatari sana kuwa na viongozi wajinga wa kiwango cha huyu bwana,karne ya 21 yeye anajivunia matumizi ya nguvu na ubabe. Huyo hafai kuwa kiongozi,maana haamini katika utawala wa sheria.Mamraka za uteuzi zimshughulikie,kwanza kamdharau hadi rais kuwa hawezi mfanya chochote.Hivyo sidhani kama atatumbuliwa.

😭😭😭😭
Ashaogopwa tayari na anajua hilo
 
Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.
Alipata kusema katiba yetu inampa upenyo Makamu wa Rais kufanya njama za Rais afe ili yeye apate uRais
 
Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.

Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.

Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.


Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.


Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?


Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.

Jumapili ya baraka


Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!


Chalamila kashajisahau, mara nyingi watu aina ya Chalamila au Makonda ni watu hawafai kupewa madaraka, maana watachafua mamlaka za uteuzi haraka sana sbb ni watu wa kujisahau na kuropoka hovyo, yaani they are not leaders at all. Najua Mh. Rais hajasema lolote juu ya maneno mabovu, ya hovyo ya Chalamila, ameshaanza kukerwa mno na matamshi ya RC Chalamila, nadhani anamlia timing, time will tell.
 
Natamani kuipata video yote Nina uhakika majadiliano yote yamebase kwenye kipande kifupi tu Cha video
 
Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.

Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.

Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.


Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.


Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?


Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.

Jumapili ya baraka


Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
Pumba
 
Watz vichwa vyenu vibovu sana kwenye kufikiri tena ni wapumbavu haswa, tz nzima usikute wenye akila elfu kumi wengn wote wajinga wajinga nimesoma toka juu mpaka hapa ktk comment nilizoona wenye akili wamepatikana wa 3 imegn hata mtoa mada hana akili hili ni janga ktk taifa, mpo kama mbuzi
 
Watz vichwa vyenu vibovu sana kwenye kufikiri tena ni wapumbavu haswa, tz nzima usikute wenye akila elfu kumi wengn wote wajinga wajinga nimesoma toka juu mpaka hapa ktk comment nilizoona wenye akil wamepatikana wawili imegn hata mtoa mada hana akili hili ni janga ktk taifa,
Apia ustaadh!
 
Aende akazime moto Kariakoo kama kweli ana ubavu
Kwani tangia lini Moto unazimwa kwa ngumu? Yeye amesema yupo vizuri kuchapa ngumi.kwa hiyo akienda kariakoo ni kuangalia vibaka watakaoleta uhuni wa kutaka kupora vitu vya watu ndio atawaonyesha moto wake wa kuchapa ngumi mchomoko.
 
Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.

Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.

Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.


Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.


Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?


Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.

Jumapili ya baraka


Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
Ukiona hivyo ni kuwa hili takataka chalamila linamsaidia rais kutenda maovu..... na rais anayabariki.
 
Back
Top Bottom