Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata demu wako Sky Eclat kawa adimu sana. Hope she's okay and doing fine.Dah itabidi tufanye mchango. Hawa wachuchu umeniachia peke yangu wamenizidi nguvu kabisa...
Ukiangalia kile kichwa na sura unaona ni mtu mwenye akili timamu kama unajua kuangalia?Huwa ana shida gani kuropoka ujinga ? Ana mihemko sanaaa....shida yake nini ? Au hana ubongo ?
Kutishia watu Kwa maneno ni kosa la jinai na Mtu akifanya anapelekwa mahakamani na kuhukumiwa. Jana Mlevi mmoja wa madaraka katishia watu halafu tuchukulie ni utani? Luka 6:45 ....mtu hunena yaujazayo moyo wake.Mkuu, mbona unachukulia vitu too personal?Unaamini kweli ataua mtu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
He is Makonda of our DaysKuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.
Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.
Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.
Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.
Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.
Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo
Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.
Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?
Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.
Jumapili ya baraka
Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
Kuna watu mpo Kwa ajili ya kutetea wapumbavu. Hatuwashangai maana mnapata Kula yenu Kwa kutetea Mazuzu.Watz vichwa vyenu vibovu sana kwenye kufikiri tena ni wapumbavu haswa, tz nzima usikute wenye akila elfu kumi wengn wote wajinga wajinga nimesoma toka juu mpaka hapa ktk comment nilizoona wenye akili wamepatikana wa 3 imegn hata mtoa mada hana akili hili ni janga ktk taifa, mpo kama mbuzi
Maneno yake tu hayo....Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.
Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.
Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.
Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.
Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.
Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo
Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.
Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?
Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.
Jumapili ya baraka
Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
SahihiKutishia watu Kwa maneno ni kosa la jinai na Mtu akifanya anapelekwa mahakamani na kuhukumiwa. Jana Mlevi mmoja wa madaraka katishia watu halafu tuchukulie ni utani? Luka 6:45 ....mtu hunena yaujazayo moyo wake.
Unayakuza tu [emoji1787]Hatari sana kuwa na viongozi wajinga wa kiwango cha huyu bwana,karne ya 21 yeye anajivunia matumizi ya nguvu na ubabe. Huyo hafai kuwa kiongozi,maana haamini katika utawala wa sheria.Mamraka za uteuzi zimshughulikie,kwanza kamdharau hadi rais kuwa hawezi mfanya chochote.Hivyo sidhani kama atatumbuliwa.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Bado unafatilia uzi mzima unasoma za wapumbavuWatz vichwa vyenu vibovu sana kwenye kufikiri tena ni wapumbavu haswa, tz nzima usikute wenye akila elfu kumi wengn wote wajinga wajinga nimesoma toka juu mpaka hapa ktk comment nilizoona wenye akili wamepatikana wa 3 imegn hata mtoa mada hana akili hili ni janga ktk taifa, mpo kama mbuzi
Kama katiba inayowaweka kwenye nafasi za mamlaka na maamuzi wanaita "kijitabu tu" ambacho labda si lazima wakifuate kwa utiifu, waweza watu hawa kuitii sheria?Huwa ana shida gani kuropoka ujinga ? Ana mihemko sanaaa....shida yake nini ? Au hana ubongo ?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Navalonge swela
Huwa ana shida gani kuropoka ujinga ? Ana mihemko sanaaa....shida yake nini ? Au hana ubongo ?
Yule ndiyo dizaini ya Mongolian idiotsUkiangalia kile kichwa na sura unaona ni mtu mwenye akili timamu kama unajua kuangalia?
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kuungua masoko inaeleweka ni dili za uvccm hizoYule RC wa Mwanza sasa kuna watu walisema kuwa Eti yeye akiwa RC mahala masoko yanaungua,
Haya sasa hayupo Dar na Kariakoo imeungua ,
Je wenye chuki naye ambao mlimzushia hayo mnalo la kusema tena?
Mhukumuni mtu kwa haki na Kweli na sio uzushi.
Wewe na wewe umepoteza dira. Umeanza vizuri kisha ukakaharibu kwa kuongelea DP WORLD ambayo haina ubaya wowote kwani ujio wake tarajali umeridhiwa na serikali, bunge na mahakama. All in all Chalamila asiondolewe DSM mpaka amalizane na kelele za makanisa kwanza. Ikiwezeka awafunge kama yule mbarikiwa wa chadema kule Mbeya.Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.
Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.
Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.
Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.
Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.
Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo
Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.
Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?
Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.
Jumapili ya baraka
Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
[emoji2956][emoji2956]NI KIONGOZI LAKINI NI KIJANA MWENZENU HUYO, UGANGWE KIDOGO SI MBAYA, SOMETIME MAISHA BILA KUJINAFASI KIDOGO HAYENDI, UCHONGANISHI UMESHINDIKANA KWA HILI.