Rais hawezi kumchukulia hatua RC Chalamila kwa sababu anamuogopa?

Rais hawezi kumchukulia hatua RC Chalamila kwa sababu anamuogopa?

Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.

Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.

Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.


Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.


Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?


Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.

Jumapili ya baraka


Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
Huyo aliyemteua siyo kama hataki kumchukulia hatua ila akili zake, upeo wake wa kupembua mazuri na mabaya ndipo ulikoishia.
 
Mtu mfupi, kichwa kama kiazi mbatata halafu anavuta bangi chooni, unategemea nini?

Lazima aseme hovyo!! Mtu anakuambia anaweza kuchomoa mashine na hakuna wa kumfanya lolote!! Kwa kiswahili cha Dar es Salaam "mashine" ni kiungo cha siri cha kiume (mboo), sasa RC wa Dar anatushia kuchomoa mashine, bado vyombo vya TISS vimekaa kimya kuhusu huyu HAYAWANI wa Malangali Iringa. Shauri zenu
Kosa mnalofanya ni kutaka wajinga wamchukulie hatua mjinga mwenzao. Hell no. Bila wananchi kuamka na kukiwasha hakuna kitakachobadilika bali hali itazidi kuwa mbaya.
 
Wala hamuogopi, usije ukafikiri anayofsnya chalamila, hayana Baraka za, ikulu, ccm, samia anapenda watu wasema hovyo, wanao attract attention na kuwatoa watu kwenye reli, badala ya ku discus Mambo muhimu, na kuisema serikali kwa madudu inayoyafanya, watu wanakuwa wanamfatilia kenge Chalamira
 
Mtu mfupi, kichwa kama kiazi mbatata halafu anavuta bangi chooni, unategemea nini?

Lazima aseme hovyo!! Mtu anakuambia anaweza kuchomoa mashine na hakuna wa kumfanya lolote!! Kwa kiswahili cha Dar es Salaam "mashine" ni kiungo cha siri cha kiume (mboo), sasa RC wa Dar anatushia kuchomoa mashine, bado vyombo vya TISS vimekaa kimya kuhusu huyu HAYAWANI wa Malangali Iringa. Shauri zenu
Mkuu niliwaza hivyo hivyo kuhusu neno mashine. Lakini nikaepuka kuandika kwa sababu isije ikanizawadia ban.

Kwa kauli hiyo anamaanisha yeye ni mbakaji na hakuna wa kumfanya lolote. Angesema anachomoa betri bado tungemnanga uhuni wake dhidi ya sheria lakini kusema anaweza kuchomoa mashine inaleta maana ovu zaidi.

Hao TISS unawataja sidhani kama wanakerwa na hili. Watuhumiwa wanaokamatwa na vyombo vya dola wanatendewa unyama mwingi ikiwemo kuingiliwa kinyume na maumbile. Mnakumbuka issue ya Lwajabe? Mnakumbuka issue ya masheikh wa Uamsho na watu wengine ambao wametendewa unyama huo wakiwa chini ya vyombo vya dola?

Nchi imejaa waovu kila kona. Safisha safisha inakuja ambapo hakuna atakayekwepa mkono wa Mungu
 
Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote.

Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu kuwa bingwa wa kuvunja sheria na taratibu bila kuogopa yeyote.

Hapo awali akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya alijinasibu kuwa endapo atamkuta kibaka ndani kwake, yeye jukumu lake ni kumuua na si kumpeleka kwenye sheria.


Hizi kauli na zinginezo tunazozisikia akiwa kwenye maeneo ya starehe ni wazi zinaonesha haiba, tabia na mwenendo wa aliyemteua kuwa zaidi ya mteule wake.

Tumeona Mkataba wa DP World ambapo umesainiwa na kila dalili za kupuuza maoni ya wananchi na wataalam.

Tumeona, namna ambavyo sheria ya kinga kwa wanausalama dhidi ya jinai ya kuua ikipitishwa bila kujali maoni ya wadau na kilio cha wananchi dhidi ya sheria hiyo

Kusaini sheria ya fedha 2021/2022 ambayo ilileta tozo mbaya iliyoua masoko ya fedha mtandao nchini ni kuwa aliyewezesha hilo hakuna wa kumfanya lolote.


Je, tusubiri kuona Chalamila akidhuru maisha ya watu hadharani ndo hatua zichukuliwe?


Sisi Watanzania tuna jukumu moja tu 2025, kuiwajibisha CCM kupitia sanduku la Kura kwa sababu imelea na kutuketea viongozi wahuni wasio na maadili na utu.

Jumapili ya baraka


Thread 'RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!' RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!
Halafu Jeshi la Police lipo kimya, kauli hii angeongea mtu ambaye either ni mwanasiasa upinzani au wa kawaida, hivi angekua mahabusu... shame Policcm
 
Halafu Jeshi la Police lipo kimya, kauli hii angeongea mtu ambaye either ni mwanasiasa upinzani au wa kawaida, hivi angekua mahabusu... shame Policcm
Mapolisi wengi ni wahalifu (siyo watuhumiwa) ndani ya sare.

Usitegemee wakawa upande wa raia kwenye hili
 
Huwa ana shida gani kuropoka ujinga ? Ana mihemko sanaaa....shida yake nini ? Au hana ubongo ?
Ndio Nchi yetu hiyo tuwe wavumilivu

hivi sasa Mwijaku yuko Ufaransa ametumwa na Nchi anatafuna foreign perdiem kwa ajili ya kuvutia wawekezaji
 
Nimemsikia mteule mmoja wa Rais akipiga Mkwara kwa anaowaongoza kwamba Yeye ni Mkorofi aliyepitiliza na Kushindikana kabisa

Ndio nauliza Ukorofi Uliopitiliza na Kushindikana ni Sifa ya Uongozi? Tena kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa!

Enendeni Ulimwenguni Kote😀
 
Ndugu hata Mashuleni. Walimu walikuwa wakichagua mtu mkorofi kuwa kiranja au Monitor

Hata Magereza Mkorofi ndio anakuwa Nyapara.
 
Nimemsikia mteule mmoja wa Rais akipiga Mkwara kwa anaowaongoza kwamba Yeye ni Mkorofi aliyepitiliza na Kushindikana kabisa

Ndio nauliza Ukorofi Uliopitiliza na Kushindikana ni Sifa ya Uongozi? Tena kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa!

Enendeni Ulimwenguni Kote😀
Hiyo ni sifa kuu hasa ukiwa kile chama kilichochakaa na kuchacha.
 
Nimemsikia mteule mmoja wa Rais akipiga Mkwara kwa anaowaongoza kwamba Yeye ni Mkorofi aliyepitiliza na Kushindikana kabisa

Ndio nauliza Ukorofi Uliopitiliza na Kushindikana ni Sifa ya Uongozi? Tena kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa!

Enendeni Ulimwenguni Kote😀
Umeona Eh! Lile takataka Chalamila, na Samia anamuacha na ushenzi wa matamko kama hayo!
 
Chala hataki kuwa mkuu wa mkoa aliyemteua anapaswa kulijua hilo na achukue hatua haraka.
 
Back
Top Bottom