Hahaha mambo ya ebueMwanaume anaweza kuwa na mwanamke mrembo sana lakini bado anachepuka. Mapenzi ni kitu cha ajabu sana.
Hongera sana ndugu yangu Rais Hussein Mwinyi. Ikifanikiwa Zanzibar ni furaha kwa wote mpaka huku bara.
Ninakubaliana na wewe lakini nimekutana na wa Mali, wa Gambia wananiambia honeymoon zao watakwenda Zanzibar.Lakini sio kwamba mara zote kaenda Zanzibar,mara ya kwanza alikuwa mbuga za wanyama BARA mkuu
Daaah, wee acha tu mkuuHahaha mambo ya ebue
Ova
Kwa ujumla Zanzibar huwa inajiuza duniani bila kujali misingi yao ya kiimani.Ninakubaliana na wewe lakini nimekutana na wa Mali, wa Gambia wananiambia honeymoon zao watakwenda Zanzibar.
Zanzibar inaweza kutumia hii nafasi kuendeleza utalii, kuweka misikiti yenye hadhi na hoteli zisizouza pombe na watu kuvaa kwa kujistiri. Wanawake wawe na sehemu yao ya kuogelea.
Huyo pembeni ni Demu wake?au Mke wa Rais?hahaha
Naam mzuri kwakweli.....
Hapo ni fursa tuu.Huyu jamaa inaonekana Tanzania iko moyoni mwake tofauti na masupastaa wengine wa Afrika.
Kama sikosei hii ni mara yake ya pili inayotambulika kuja tanzania hata kama ni kwa mapumziko tu.
Au kaona fursa?
Dah,kuna watu wanamwaga pazuri jamani!
Labda hujamuona Mheshimiwa rais alivyokuwa akicheka kwa furahaInaonekana kwenye hizo picha ata Raisi Mwinyi alikuwa hatikisiki, mbona amejikaza sana 😂🤣 kama ndo sasa anakaguliwa gwaride, ila nimependa mapozi hayo ya picha Raisi ana furaha Sana
Tafuta money kijana. Hata wewe utamwaga pazuri tu.Dah,kuna watu wanamwaga pazuri jamani!
Mademu wa hivyo wanapenda manjemba mablack meusi marefu.... Hamjaishi mbele nyinyi!!Mchizi ana kisu kikali kinoma
Ninakubaliana na wewe lakini nimekutana na wa Mali, wa Gambia wananiambia honeymoon zao watakwenda Zanzibar.
Zanzibar inaweza kutumia hii nafasi kuendeleza utalii, kuweka misikiti yenye hadhi na hoteli zisizouza pombe na watu kuvaa kwa kujistiri. Wanawake wawe na sehemu yao ya kuogelea.
Kwa ujumla Zanzibar huwa inajiuza duniani bila kujali misingi yao ya kiimani.
Ila nakubaliana na wewe tuiboreshe Zanzibar iweze kukidhi matakwa ya jamii nyingi maana ile effect yake hata bara tutaiona.
Hahaha mambo ya ebue
Ova